Man united kujenga uwanja mpya kwa euro Bilioni 2.4

Man united kujenga uwanja mpya kwa euro Bilioni 2.4

mwakani naolewa

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
148
Reaction score
426
Klabu ya manchester united nchini England imepitisha mpango wa kujenga uwanja mpya wa mpira utakaokua na manufaa zaidi kuliko kukarabati ule uliopo [old trafford], uwanja huo utakaobeba mashabiki 100,000 unakadiriwa kugharimu euro bilioni 2.4. Mpango huu umetokana na kuvuja kwa uwanja wa zamani wa Old Trafford katika mechi dhidi ya arsenal May13,2024
 
Back
Top Bottom