JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Manchester United imefanikiwa kupata ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Southampton katika mchezo wa Premier League, leo Agosti 27, 2022 ukiwa ni ushindi wa pili mfululizo.
Bruno Fernandez ndiye aliyefunga goli la Man United katika dakika ya 55.
United ilipoteza mechi mbili za kwanza msimu huu kabla ya kuifunga Liverpool, wiki iliyopita.
Bruno Fernandez ndiye aliyefunga goli la Man United katika dakika ya 55.
United ilipoteza mechi mbili za kwanza msimu huu kabla ya kuifunga Liverpool, wiki iliyopita.