Man United Yamaliza Mechi Za Old Trafford Kwa Ushindi Wa Mabao 3-0

Man United Yamaliza Mechi Za Old Trafford Kwa Ushindi Wa Mabao 3-0

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
FRx8WP9XoAIOJke.jpg

Licha ya kuwa na msimu mbaya, Manchester United imekamilisha mchezo wake wa mwisho kwenye Uwanja wa Old Trafford msimu huu wa 2021/22 kwa ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Brentford.

Katika mchezo huo wa Premier League mabao yamefungwa na Bruno Fernandes ambaye amefunga bao lake la 50 tangu atue kikosini hapo, Cristiano Ronaldo na Raphael Varane aliyefunga bao lake la kwanza katika #EPL.

United sasa imesaliwa na michezo miwili ili kukamlisha ratiba ya msimu ambapo yote itakuwa ugenini.
 
View attachment 2209165
Licha ya kuwa na msimu mbaya, Manchester United imekamilisha mchezo wake wa mwisho kwenye Uwanja wa Old Trafford msimu huu wa 2021/22 kwa ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Brentford.

Katika mchezo huo wa Premier League mabao yamefungwa na Bruno Fernandes ambaye amefunga bao lake la 50 tangu atue kikosini hapo, Cristiano Ronaldo na Raphael Varane aliyefunga bao lake la kwanza katika #EPL.

United sasa imesaliwa na michezo miwili ili kukamlisha ratiba ya msimu ambapo yote itakuwa ugenini.
Asahau kuhusu top 4. Atabaki huko huko mtaa wa 7
 
hapo ni mwisho,mwisho kabisa kupata ushindi mechi zinazofata.
 
Back
Top Bottom