Man UTD bila Casemiro itatoka salama kweli Emirates?

Man UTD bila Casemiro itatoka salama kweli Emirates?

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Saa 1:30 usiku kwa masaa ya Afrika Mashariki, Arsenal itakuwa inashuka dimbani kupambana na wapinzani wao Man Utd.

Man Utd itashuka dimbani bila kiungo wao mahiri Casemiro, ambaye amekuwa mhimili mkubwa sana kwao.

Ikumbukwe mechi ya kwanza Man Utd alishinda 3-1 dhidi ya Arsenal pale Old Trafford bila ya Casemiro.

Je, United itaweza kumzuia Arsenal?
 
Saa 1:30 usiku kwa masaa ya Afrika Mashariki, Arsenal itakuwa inashuka dimbani kupambana na wapinzani wao Man Utd.

Man Utd itashuka dimbani bila kiungo wao mahiri Casemiro, ambaye amekuwa mhimili mkubwa sana kwao.

Ikumbukwe mechi ya kwanza Man Utd alishinda 3-1 dhidi ya Arsenal pale Old Trafford bila ya Casemiro.

Je, United itaweza kumzuia Arsenal?
Yani hapo hata kama ningekuepo mimi ushindi ule paleeee... kama hutaki subiri jioni ifike.
 
Saa 1:30 usiku kwa masaa ya Afrika Mashariki, Arsenal itakuwa inashuka dimbani kupambana na wapinzani wao Man Utd.

Man Utd itashuka dimbani bila kiungo wao mahiri Casemiro, ambaye amekuwa mhimili mkubwa sana kwao.

Ikumbukwe mechi ya kwanza Man Utd alishinda 3-1 dhidi ya Arsenal pale Old Trafford bila ya Casemiro.

Je, United itaweza kumzuia Arsenal?
Arsenal kafanya mambo matamu
 
msako aliofanyiwa man u, mara ya mwisho kuona MSAKO kama huu ilikuwa mwaka 2007, manzese darajani hapo, mwanajeshi alipigwa na kuibiwa simu
😂 😂
 
Nadhani majibu yameshapatikana sasa au una swali linguine, au ngoja tuendelee na mambo yetu
 
Sio majigambo Arsenal tuna GD 28 tunacheza na timu yenye GD 8 halafu ilecheza mechi 19? Unaona kuna timu au kikundi cha wapiga kelele mitandaoni?

Kwa hiyo spurs ana magoli machache dhidi ya man u?
 
Back
Top Bottom