Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
-
- #81
Utabiri umegoma mkuu, hongereni kwa ushindiKikao cha Anfield kimeisha salama,
Ahsanteni Mwanitesa United kushiriki.
Duh mkeka huoDroo!
Man pona pona yake ni kutopeleka timu uwanjani, otherwise 3 - 1 inamhusu.
Kweli aisee hawataaminiLiverpool wako fomu ila hawatoamini watakachokutana nacho. United itacheza kwa mbinu zaidi na itapata matokeo.
Ha ha haHabari unayo[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Pole kiongoziKama Herrera atakuwa fiti na ataanzishwa siku hiyo, basi Liverpool atakuwa hana chake.
Pia namuona Ashley Young akipewa jukumu flani la kuhakikisha ule upande hatari wa kulia wa Liverpool akiudhibiti ipasavyo kwanzia kwa Trent Alexander Anold mpaka kwa Mo Salah.
Ha ha haKweli aisee hawataamini
Hatimaye ndoto yako imekugeuza kinyume na maumbile... umekuwa kama shogaWeekend hii jumapili, saa 1 usiku kwa saa za Afrika Mashariki, Liverpool itakuwa nyumbani ikiialika Man Utd katika derby maarufu ya North West Derby.
Man Utd itaingia kama underdogs huku.Liverpool ikiwa timu inayopewa nafasi kubwa ya kuibuka na ushindi.
Ila kwa hisia zangu kuelekea mchezo huu, Man Utd ataingia na kupaki basi, huku baadhi ya wachezaji wa Man Utd wakipewa jukumu la man marking kwa key players wa Liverpool.
Liverpool atatawala mchezo, lakini mshindi atakuwa Man Utd. Mwiso wa siku Man Utd itakuwa timu ya kwanza kuifunga Liverpool kwenye EPL. Ni suala la muda tu...
Wewe ni qumer
Mimi man utd damu ila hatuwizi kuifunga Liverpool kwa Sasa
Liverpool 3 man utd 0
Weekend hii jumapili, saa 1 usiku kwa saa za Afrika Mashariki, Liverpool itakuwa nyumbani ikiialika Man Utd katika derby maarufu ya North West Derby.
Man Utd itaingia kama underdogs huku.Liverpool ikiwa timu inayopewa nafasi kubwa ya kuibuka na ushindi.
Ila kwa hisia zangu kuelekea mchezo huu, Man Utd ataingia na kupaki basi, huku baadhi ya wachezaji wa Man Utd wakipewa jukumu la man marking kwa key players wa Liverpool.
Liverpool atatawala mchezo, lakini mshindi atakuwa Man Utd. Mwiso wa siku Man Utd itakuwa timu ya kwanza kuifunga Liverpool kwenye EPL. Ni suala la muda tu...
Kweli mkuuSoka sio ramli
J.pili ndio leo, tunahitaji mrejesho mkuu.Ni jumapili sasa. Mechi zote mbili za Anfield, Jose ametoa suluhu ya 0-0
Ha ha ha asante mkuuPole kiongozi
Nakusalimia mkuu