Alexprosper
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 3,286
- 6,110
- Thread starter
- #21
Kombe la man CityLiver hawezi beba ubingwa wa EPL, kimahesabu alishapoteza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kombe la man CityLiver hawezi beba ubingwa wa EPL, kimahesabu alishapoteza.
Jamaa anakimbiaView attachment 2538519
Famasiala nini
Hatari sana7up utd [emoji23][emoji23]
Sasa hapo the butcher anaenda wapi!?..anakuwa Kama wachezaji wangu wa kwenye game enzi zile najifunza kuchezaView attachment 2538519
Famasiala nini
Walikuwa wameanza kuongea sana, sasa rasmi wameanza kurudi walipokuaHatari sana
Dah anaukimbia mpiraSasa hapo the butcher anaenda wapi!?..anakuwa Kama wachezaji wangu wa kwenye game enzi zile najifunza kucheza
KweliWalikua wameanza kuongea sana, sasa rasmi wameanza kurudi walipokua
Nyie ni ndugu mmojaUsitushushie heshima aisee Arsenal hatuchez mpira wajinga kama wa manyumbu
Ajapigwa kashinda 3_2 jana, una lingine??Arsenal kapigwa ngapi?!
Ajapigwa kashinda 3_2 jana,,, una lingine??
WametuliaMan utd walikua na mdomo sana. Wamefungwa na liver ambao ni wabovu.
Umejibiwa kama ulivyoulizaLingine soma heading ya hii thread.
umejibiwa kama ulivyouliza
Inaonekana ungekuwa karibu hata ngumi ungerushaNami nimejibu kama nilivyoulizwa.