Hivi yule aliesema dar inaangamizwa mwezi huu, mbona siku zinayoyoma au tayari?Hawa tunaweza kuwaita matapeli tu, hawana sifa za kuitwa manabii kwa mujibu wa maandiko ya biblia. Manabii gani wanakula bata pamoja na watawala?
Manabii gani wanaishi maisha ya anasa na ufahari? Manabii wana vitambi na shavu dodo! Wamenenepeana kuliko waumini wao kwa ukwasi walionao. Hawa ni wajanja fulani wenye kazi maalumu kwa jamii na sio unabii wa Mungu