Manabii wa uongo

Hivi yule aliesema dar inaangamizwa mwezi huu, mbona siku zinayoyoma au tayari?
 
Anatumia unabii kukuambia mbaya wako!! Hii ni ramli chonganishi, siku mtu akiamua kumkatakata mwenzake kwa panga ndio serikali itaingilia kati.
 
Anatumia unabii kukuambia mbaya wako!! Hii ni ramli chonganishi, siku mtu akiamua kumkatakata mwenzake kwa panga ndio serikali itaingilia kati.
Kweli kabisa Muombee mtu apone hahitaji kujua nani alimuharibia
 
Hata uwaambie vipi waumini wa hao manabii kamwe hawabanduki na wameshaaminishwa anayepinga au kuleta hoja pinzani basi ni mfuasi wa shetani au ibilisi
 
Wacha hao manabii waendelee kuwatapeli wajinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…