Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilo shirika la kihuni, limejaa wahuni tunimeomba hili shirika mpaka nimechoka nadhani kuna urasimu sana mule ndani
nimeomba hili shirika mpaka nimechoka nadhani kuna urasimu sana mule ndani
Unaweza kuthibitisha madai yako?Ilo shirika la kihuni, limejaa wahuni tu
Inawezekana bado hujafikia vigezo katika ushindani Mkuu, isitoshe, umeomba online na unakuta mlioomba ni wengi.nimeomba hili shirika mpaka nimechoka nadhani kuna urasimu sana mule ndani
Unataka uthibitisho upi?Unaweza kuthibitisha madai yako?
ya ulichosemaUnataka uthibitisho upi?
Kwenye position ipi mkuu?Kuna uchaga mwingi sana palee... Sikumbuki kama kuna mtu aliajiriwa katika tuliofanyaga interview wat 10, kila mtu alikosa je aliyepat interview aliifanyia wapi!?
Kwahyo nikithibitisha ndo mtabadilika?ya ulichosema
Sifanyi Kazi MDHKwahyo nikithibitisha ndo mtabadilika?
Wana ajiri na hata malipo yao yamechangamka. Kama una sifa jaribu bahati yako!!hivi hawa huwa wanaajiri kweli? mbona sijawahi ona mtu aliye apply ameitwa?
kwa idadi ya post wanazotoa watu kwenye groups wanaoomba ingekuwa hata anapatikana 1/10 ila sijawahi kuonaWana ajiri na hata malipo yao yamechangamka. Kama una sifa jaribu bahati yako!!
Sio kwa MDH tu, mashirika mengi yanayotangaza ajira humu, watu wanoomba na kufanikiwa huwa hawaleti mrejesho.kwa idadi ya post wanazotoa watu kwenye groups wanaoomba ingekuwa hata anapatikana 1/10 ila sijawahi kuona
labda ni wale wanaweka post geresha huku wakiwa wana majina yao tayari
mbona hayo mengine hayana malalamiko kama MDH?Sio kwa MDH tu, mashirika mengi yanayotangaza ajira humu, watu wanoomba na kufanikiwa huwa hawaleti mrejesho.
Pitia pitia jukwaa uone.mbona hayo mengine hayana malalamiko kama MDH?
Wanapata mimi kuna rafiki yngu aliomba alipata hakua na yyte anaemjua palenimeomba hili shirika mpaka nimechoka nadhani kuna urasimu sana mule ndani