kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 18,585
- 16,780
Watu wanajua kukata sana Tamaa.Wanapata mimi kuna rafiki yngu aliomba alipata hakua na yyte anaemjua pale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanajua kukata sana Tamaa.Wanapata mimi kuna rafiki yngu aliomba alipata hakua na yyte anaemjua pale
Duuuuh nilijua ni mimi tu iko hivyo kumbe wengi, sahivi mimi hata kutuma nikiona naqualified kiasi gani huwa naacha tunimeomba hili shirika mpaka nimechoka nadhani kuna urasimu sana mule ndani
Mkuu nilpiga interview pale mwaka jana kitambo Tu ila nliyoyaona pale acha kabisaKwenye position ipi mkuu?
Mtu anayepata kwa connection sio rahisi kukuambia.Wanapata mimi kuna rafiki yngu aliomba alipata hakua na yyte anaemjua pale
Kumbe uliitwa kabisaMkuu nilpiga interview pale mwaka jana kitambo Tu ila nliyoyaona pale acha kabisa
Boresha mbinu za kuomba mkuu. UtafanikiwaNimeomba mpaka nikiona tangazo nangalia tu
hapana tunapeleka fizikali kabisa pale HQ dsmInawezekana kazi zinatangazwa na matapeli kwa sababu ni watu wengi wanalalamika hivyo
sio mbaya ukinisaidia mbinu zingine ambazo unadhani zitasaidiaInawezekana bado hujafikia vigezo katika ushindani Mkuu, isitoshe, umeomba online na unakuta mlioomba ni wengi.
usifanye hitimisho kirahisi hivi mkuu.
kazi zipo kwenye ushindani sana.
Tumia mbinu nyingine zaidi, boresha CV yako ili ufanikiwe.
wengi wanaongizwa kwa connection hawasemi truth but it may be trueWanapata mimi kuna rafiki yngu aliomba alipata hakua na yyte anaemjua pale
Ebu tupe habari kidogo kuna mwamba hapo juu anaona kila anayelalamika amekata tamaaMkuu nilpiga interview pale mwaka jana kitambo Tu ila nliyoyaona pale acha kabisa
hahahhaa kama mimi tu bro naliangalia no hope kwa kweliNimeomba mpaka nikiona tangazo nangalia tu
Pale kuna shida mkuu.. Siongei San nkaonekan mnafki au ubinafs la hasha. Kama kuna mtu anaota kupata kazi pale kirahis asahau labda awe mwanamke nmeona wafnykaz wake wengi wanwake [emoji28]Ebu tupe habari kidogo kuna mwamba hapo juu anaona kila anayelalamika amekata tamaa
hahahaa kwa io ambao tuna ndoto za kuvaa vitambulisho vya MDH tuamke usingizini sioPale kuna shida mkuu.. Siongei San nkaonekan mnafki au ubinafs la hasha. Kama kuna mtu anaota kupata kazi pale kirahis asahau labda awe mwanamke nmeona wafnykaz wake wengi wanwake [emoji28]
Mimi ndo nmetoka kutuma maombi af nakutana na hizi habari, Mungu wewe Munguhahahaa kwa io ambao tuna ndoto za kuvaa vitambulisho vya MDH tuamke usingizini sio
Usikate tamaa kila Mja na fungu lakeMimi ndo nmetoka kutuma maombi af nakutana na hizi habari, Mungu wewe Mungu
Yaah kwel nimejarb, MUNGU aki bless Safi nitaleta marejesho uzuri nina pa kujishikiza.Usikate tamaa kila Mja na fungu lake
naomba nije PM basi nina dokezo kidogoYaah kwel nimejarb, MUNGU aki bless Safi nitaleta marejesho uzuri nina pa kujishikiza.
Haha ni kweli kabisa.Pale kuna shida mkuu.. Siongei San nkaonekan mnafki au ubinafs la hasha. Kama kuna mtu anaota kupata kazi pale kirahis asahau labda awe mwanamke nmeona wafnykaz wake wengi wanwake [emoji28]
@kiwavunge njoo ujibu hoja huku au utubu tuHaha ni kweli kabisa.
Mimi nina mfano halisi kabisa kwa mtu alieyeingizwa kwa connection. Ni wa jinisia ke. Na aliniambia mwenyewe. Walikuwa wanataka mtu mwenye MPH kwenye hiyo position ila yeye alikuwa na bachelor tu hata cheti hajapata na less experience. Anasema aliombwa mambo akamalizana na muhusika na kuewa maswali na majibu na akamkuta muhusika kwenye panel so akateleza tu.
Mimi nina jamaa yangu ni senior lecturer chuo kikubwa hapa Tz, na kabla ya hapo aliwahi kufanya kazi USA kwenye program za HIV kwa miaka 7 kabla ya kuitwa bongo aje afundishe. Anakuambia kazi za MDH za regional manager ameomba mara kibao ila hola mpaka akaniuliza..."Mzee hawa jamaa wako serious kweli, hata interview moja sijawahi itwa"..so nikamwambia pale bila connection ni kazi ngumu kupata kama ni jinsia ME. Chances za kupata sio zaidi ya 10%.
So wewe kama unaomba omba tu, ila ujue anything can happen manake mungu ndio muweza wa yote.