Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Mimi ninacho jua Alikiba ana shida kuliko management...kama msanii hajakubali kitu ni ngumu management kukifanya!Sallam alishasemaga Management ya kiba haiko poa.. Hawajui kupush mambo yao, hawajui kuwa aggressive wapate wanachotaka!! Wimbo wa Mwanaungemfikisha mbali sana kiba ila wakambwela.. Pia kiba mwenyewe needs to change his attitude!!
Alikiba bado ana ushamba wa kutafuta hela jiulize mbona Jide tena wapo management moja anafanya tour kila mkoa na tarehe 4 ni dodoma baada ya Dar?