Manara acha kuhujumu club ya yanga

Manara acha kuhujumu club ya yanga

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Manara nakuonya acha kuhujumu club ya yanga Africans

Hii timu Ina historia kubwa katika mpira

Hao waganga wako pamoja na wewe mtaenda pamoja

Hii timu ni tunu ya Taifa ndio mwasisi wa Uhuru wa nchi hii

Ndio kila kitu hauwezi kuwafanya wanayanga wakose furaha kwa wakati wote huo

Nasema hivi Bora timu ingekuwa inafungwa kwa sababu za kimpira lakini hapana

Ninao ushahidi wa kutosha kwamba Haji manara ndio anahujumu timu ya yanga isipate matokeo

Natoa angalizo endapo Viongozi hawatachukua hatua hiki kirusi kitaishusha daraja hii timu

Naonya Tena manara acha kuhujumu dar yanga Africans na waganga wako hao!!
 
Manara nakuonya acha kuhujumu club ya yanga Africans

Hii timu Ina historia kubwa katika mpira

Hao waganga wako pamoja na wewe mtaenda pamoja

Hii timu ni tunu ya Taifa ndio mwasisi wa Uhuru wa nchi hii

Ndio kila kitu hauwezi kuwafanya wanayanga wakose furaha kwa wakati wote huo

Nasema hivi Bora timu ingekuwa inafungwa kwa sababu za kimpira lakini hapana

Ninao ushahidi wa kutosha kwamba Haji manara ndio anahujumu timu ya yanga isipate matokeo

Natoa angalizo endapo Viongozi hawatachukua hatua hiki kirusi kitaishusha daraja hii timu

Naonya Tena manara acha kuhujumu dar yanga Africans na waganga wako hao!!
Tufungue anaihujumu kivipi?
 
Manara nakuonya acha kuhujumu club ya yanga Africans

Hii timu Ina historia kubwa katika mpira

Hao waganga wako pamoja na wewe mtaenda pamoja

Hii timu ni tunu ya Taifa ndio mwasisi wa Uhuru wa nchi hii

Ndio kila kitu hauwezi kuwafanya wanayanga wakose furaha kwa wakati wote huo

Nasema hivi Bora timu ingekuwa inafungwa kwa sababu za kimpira lakini hapana

Ninao ushahidi wa kutosha kwamba Haji manara ndio anahujumu timu ya yanga isipate matokeo

Natoa angalizo endapo Viongozi hawatachukua hatua hiki kirusi kitaishusha daraja hii timu

Naonya Tena manara acha kuhujumu dar yanga Africans na waganga wako hao!!
We jamaa kumbe hauna akili,nilijuaga we mzima, aisee!!!
 
Manara nakuonya acha kuhujumu club ya yanga Africans

Hii timu Ina historia kubwa katika mpira

Hao waganga wako pamoja na wewe mtaenda pamoja

Hii timu ni tunu ya Taifa ndio mwasisi wa Uhuru wa nchi hii

Ndio kila kitu hauwezi kuwafanya wanayanga wakose furaha kwa wakati wote huo

Nasema hivi Bora timu ingekuwa inafungwa kwa sababu za kimpira lakini hapana

Ninao ushahidi wa kutosha kwamba Haji manara ndio anahujumu timu ya yanga isipate matokeo

Natoa angalizo endapo Viongozi hawatachukua hatua hiki kirusi kitaishusha daraja hii timu

Naonya Tena manara acha kuhujumu dar yanga Africans na waganga wako hao!!
Anacheza namba ngapi?!
 
Manara nakuonya acha kuhujumu club ya yanga Africans

Hii timu Ina historia kubwa katika mpira

Hao waganga wako pamoja na wewe mtaenda pamoja

Hii timu ni tunu ya Taifa ndio mwasisi wa Uhuru wa nchi hii

Ndio kila kitu hauwezi kuwafanya wanayanga wakose furaha kwa wakati wote huo

Nasema hivi Bora timu ingekuwa inafungwa kwa sababu za kimpira lakini hapana

Ninao ushahidi wa kutosha kwamba Haji manara ndio anahujumu timu ya yanga isipate matokeo

Natoa angalizo endapo Viongozi hawatachukua hatua hiki kirusi kitaishusha daraja hii timu

Naonya Tena manara acha kuhujumu dar yanga Africans na waganga wako hao!!
Kwa mind set hizi ndio maana soka la nchi linayumba, manara ndio anapanga team? Anahusika na usajili?

Hii tabia ya kuto ku accept failure badala yake mnatafuta kwa kumbebesha lawama ni tatizo

Own your mistakes mmefeli, jirekebisheni from there

Ushirikina hauna nafasi kwenye modern football, kama hukuniandaa, ukakurupuka utapigwa tu
 
Hahaha eti manara ..
Amkeni nyie neno UBAYA UBWELA limebeba kila kitu.
Tupieni links za magruop yenu ya Yanga tuwasaidieni.
😂😂😂😂
 
20241109_121129.jpg


Hiki kirusi ni hatari sana Yanga
 
Back
Top Bottom