Manara acha kuhujumu club ya yanga

Manara acha kuhujumu club ya yanga

Manara nakuonya acha kuhujumu club ya yanga Africans

Hii timu Ina historia kubwa katika mpira

Hao waganga wako pamoja na wewe mtaenda pamoja

Hii timu ni tunu ya Taifa ndio mwasisi wa Uhuru wa nchi hii

Ndio kila kitu hauwezi kuwafanya wanayanga wakose furaha kwa wakati wote huo

Nasema hivi Bora timu ingekuwa inafungwa kwa sababu za kimpira lakini hapana

Ninao ushahidi wa kutosha kwamba Haji manara ndio anahujumu timu ya yanga isipate matokeo

Natoa angalizo endapo Viongozi hawatachukua hatua hiki kirusi kitaishusha daraja hii timu

Naonya Tena manara acha kuhujumu dar yanga Africans na waganga wako hao!!
Siyo ulozi, Manara alishasema huko utopoloni hamna akili, wenye akili wawili tuu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


[emoji382][emoji382] Sc
 
Manara nakuonya acha kuhujumu club ya yanga Africans

Hii timu Ina historia kubwa katika mpira

Hao waganga wako pamoja na wewe mtaenda pamoja

Hii timu ni tunu ya Taifa ndio mwasisi wa Uhuru wa nchi hii

Ndio kila kitu hauwezi kuwafanya wanayanga wakose furaha kwa wakati wote huo

Nasema hivi Bora timu ingekuwa inafungwa kwa sababu za kimpira lakini hapana

Ninao ushahidi wa kutosha kwamba Haji manara ndio anahujumu timu ya yanga isipate matokeo

Natoa angalizo endapo Viongozi hawatachukua hatua hiki kirusi kitaishusha daraja hii timu

Naonya Tena manara acha kuhujumu dar yanga Africans na waganga wako hao!!
Sikuwahi kujua ya kwamba wewe technically linapokuja suala la Simba na Yanga kumbe ni mjinga na mpumbavu!
 
Mi sio Yanga na si mtetezi wa Manara lakin hebu tuweni na aibu kabla ya kuleta imani za kishirikina kwenye mambo ya kisayansi. Mpira ni Sayansi.
Ndo maana Tanzania tulipewa taji katika utafiti wa kuamini mambo ya kijima na ushirikina.
 
Manara nakuonya acha kuhujumu club ya yanga Africans

Hii timu Ina historia kubwa katika mpira

Hao waganga wako pamoja na wewe mtaenda pamoja

Hii timu ni tunu ya Taifa ndio mwasisi wa Uhuru wa nchi hii

Ndio kila kitu hauwezi kuwafanya wanayanga wakose furaha kwa wakati wote huo

Nasema hivi Bora timu ingekuwa inafungwa kwa sababu za kimpira lakini hapana

Ninao ushahidi wa kutosha kwamba Haji manara ndio anahujumu timu ya yanga isipate matokeo

Natoa angalizo endapo Viongozi hawatachukua hatua hiki kirusi kitaishusha daraja hii timu

Naonya Tena manara acha kuhujumu dar yanga Africans na waganga wako hao!!
Aliingia dakika ya ngapi akichukua nafasi ya mchezaji gani?
 
El Bugati
1000016463.png
 
Manara nakuonya acha kuhujumu club ya yanga Africans

Hii timu Ina historia kubwa katika mpira

Hao waganga wako pamoja na wewe mtaenda pamoja

Hii timu ni tunu ya Taifa ndio mwasisi wa Uhuru wa nchi hii

Ndio kila kitu hauwezi kuwafanya wanayanga wakose furaha kwa wakati wote huo

Nasema hivi Bora timu ingekuwa inafungwa kwa sababu za kimpira lakini hapana

Ninao ushahidi wa kutosha kwamba Haji manara ndio anahujumu timu ya yanga isipate matokeo

Natoa angalizo endapo Viongozi hawatachukua hatua hiki kirusi kitaishusha daraja hii timu

Naonya Tena manara acha kuhujumu dar yanga Africans na waganga wako hao!!
1000192238.jpg
 
Tatizo sio Manara Haji, tatizo Mzee Magoma mmemdhulumu, mmemdhalilisha sasa pokeeni maumivu.
 
Basi manara ni mkubwa sana kama ana uwezo wa kuihujumu hadi taasisi.
 
Manara nakuonya acha kuhujumu club ya yanga Africans

Hii timu Ina historia kubwa katika mpira

Hao waganga wako pamoja na wewe mtaenda pamoja

Hii timu ni tunu ya Taifa ndio mwasisi wa Uhuru wa nchi hii

Ndio kila kitu hauwezi kuwafanya wanayanga wakose furaha kwa wakati wote huo

Nasema hivi Bora timu ingekuwa inafungwa kwa sababu za kimpira lakini hapana

Ninao ushahidi wa kutosha kwamba Haji manara ndio anahujumu timu ya yanga isipate matokeo

Natoa angalizo endapo Viongozi hawatachukua hatua hiki kirusi kitaishusha daraja hii timu

Naonya Tena manara acha kuhujumu dar yanga Africans na waganga wako hao!!
Asee hawa wasio na akili muwazuie kutoa maoni hapa jukwaani.

Sababu za kufungwa yanga hadi sasa;
1. Uwanja wa Azam wanahujumiwa ila cha kushangaza wamefungwa kwa Mkapa

2. Kocha Gamondi hafai,amefukuzwa wakaja na kocha mpya na mfumo mpya ambao haujawahi kutokea Tanzania, wamechezea koki wamelowa 2

3. Dube alichezewa hivyo wamemtengeneza na lazima afunge,kweli ameachwa dakika zote lakini wapii!Badala ya kufanya sub mnalazimisha maneno ya hamasa yawe kweli- ujinga sana huu

4. Manara anawachezea mchezo mbab

aya
Sasa kwa nini mlimfukuza Gamondi?
Hivi mna akili kweli nyie?
 
Manara nakuonya acha kuhujumu club ya yanga Africans

Hii timu Ina historia kubwa katika mpira

Hao waganga wako pamoja na wewe mtaenda pamoja

Hii timu ni tunu ya Taifa ndio mwasisi wa Uhuru wa nchi hii

Ndio kila kitu hauwezi kuwafanya wanayanga wakose furaha kwa wakati wote huo

Nasema hivi Bora timu ingekuwa inafungwa kwa sababu za kimpira lakini hapana

Ninao ushahidi wa kutosha kwamba Haji manara ndio anahujumu timu ya yanga isipate matokeo

Natoa angalizo endapo Viongozi hawatachukua hatua hiki kirusi kitaishusha daraja hii timu

Naonya Tena manara acha kuhujumu dar yanga Africans na waganga wako hao!!
Sina uhakika kama umeenda shule ukaishia japo darasa la 3 tu.

Hivi bado unaamini mambo ya kipuuzi ya kishirikina badala ya kuamini katika uwezo wa timu?

Katika akili ya kawaida usajili uliofanywa wa kina Dube, Chama, Baleke ndiyo uiboreshe timu kweli?

Wachezaji wengi wamesajiliwa kimuhemko tu eti kuikomoa Simba na Azam halafu utegemee maajabu uwanjani?

Manara hana ubavu wa kuihujumu Yanga iwe kishirikina unavyoaamini ama kwa namna yoyote ile bali ni Yanga yenyewe inatapatapa.

Aise watu aina yako ndiyo wenye mchango kiduchu ama kutokuwa kabisa na mchango wowote kwa taifa.
 
Manara nakuonya acha kuhujumu club ya yanga Africans

Hii timu Ina historia kubwa katika mpira

Hao waganga wako pamoja na wewe mtaenda pamoja

Hii timu ni tunu ya Taifa ndio mwasisi wa Uhuru wa nchi hii

Ndio kila kitu hauwezi kuwafanya wanayanga wakose furaha kwa wakati wote huo

Nasema hivi Bora timu ingekuwa inafungwa kwa sababu za kimpira lakini hapana

Ninao ushahidi wa kutosha kwamba Haji manara ndio anahujumu timu ya yanga isipate matokeo

Natoa angalizo endapo Viongozi hawatachukua hatua hiki kirusi kitaishusha daraja hii timu

Naonya Tena manara acha kuhujumu dar yanga Africans na waganga wako hao!!
Manara anacheza namba ngapi?injinia amesha SEMA kuwa ni mwanachama wa kawaida,Sasa anawahujumu kivipi? Vibara kama nyie mliopangwa na akina kamwe mnavituko sana.
 
Back
Top Bottom