Manara adai hakuna wa kumuua Makonda labda afe kwa 'stress' zake mwenyewe. Amtaka awaombe msamaha watanzania kwa dhulma

Haji Manara ameendelea kumnanga rafiki yake wa zamani, Paul Makonda ambaye kwasasa yupo kwenye mgogoro mzito na boss wake wa sasa, Gharib Mohammed(GSM). Manara amedai watu wengi wamekimbia nchi kwasababu ya uonevu wa Paul Makonda...
Manara awemakini hakuna aijuaye kesho yake h
 
Huyu sope huwa ana kihere here sana, msieeew zake.
 
Hivyo vitu tutaendelea agiza kila siku
muda huu angekuwa anapost huko Insta mashamba yake ya ngano, alizeti, mawese, n.k. na kuwahamasisha vijana kuingia kwenye kilimo angekuwa wa msaada sana; badala yake amekalia umbea na kundi kubwa litamfuata! Ha ha ha.
 
Haji Manara ameendelea kumnanga rafiki yake wa zamani, Paul Makonda ambaye kwasasa yupo kwenye mgogoro mzito na boss wake wa sasa, Gharib Mohammed(GSM). Manara amedai watu wengi wamekimbia nchi kwasababu ya uonevu wa Paul Makonda...
Makonda ashughulikiwe mapema kwa ushenzi alofanya.
 
Ndugu yangu Makonda neno MSAMAHA ni muhimu ukishupaza shingo hutobaki salama.
Sintaacha kukuambia kwani unavyozidi kuchelewa wenye TUHUMA watakuwahi na Rubina lakini ukiwawahi kwani umeshawaomba
 
muda huu angekuwa anapost huko Insta mashamba yake ya ngano, alizeti, mawese, n.k. na kuwahamasisha vijana kuingia kwenye kilimo angekuwa wa msaada sana; badala yake amekalia umbea na kundi kubwa litamfuata! Ha ha ha.
Umbea dili
 
Mimi binafsi Makonda Jiwe siwapendi ,ila Kuna kitu niliwahi kuhisi kuhusu Manara siku rafiki yake Jerry Muro alivyoteuliwa kuwa DC kutoka usemaji wa YANGA na hapo hapo Manji akaingia matatizoni, hii Ilinifanya niwaze kuwa DC JERRY MURO kauza Siri za Manji na hivyo nikapata hofu kwa MANARA kuwa msemaji wa SiMBA ,siku MO ametekwa na MANARA kukamatwa nikajua serikali inatuzuga tu kumkamata MaNARA ila serikali imefanikiwa kazi waliyomtuma imefanikiwa .
 
Manara naye kama kibint tu

USSR
Makonda al8jiona ni zaidi ya binadamu, kwa sababu alikuwa ana uwezo kwa kuteka, kuua na kuwapoteza watu bila ya kuhojiwa na yeyote. Leo anaweza kurushiwa makopo na watoto, ataishia kushtaki mitandaoni. Anafundishwa kuwa cheo hakibadilishi ubinadamu wako.
 
Huyu zeruzeru naye ni mjinga tu. Simba ilikushinda ukaenda yanga mara uko azam ushakuwa malaya wa mpira na siasa.
 
Manara atulie tu na ajifunze kwa kilichomtokea Makonda kinaweza kumtokea yeye pia...

Kesho na keshokutwa Makonda akapata madaraka tena, Manara atageuka na kubembeleza ushikaji...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…