Shukrani ....nimejihisi kufarijika... don't underestimate what you have just replied to me.Msitususe sana aisee.
Hadi tunawasahau.
Picha inaongea kila kitu.Makonda ana laana sanaView attachment 2184818
Makonda ana laana sanaView attachment 2184818
😂Wanafiki huwa wana kumbukumbu [emoji23][emoji23]
Yaani anakumbuka every details
Tunajua anaambiwa aseme nini ila swaumu hana [emoji23][emoji23]
Huyu Haji mbona kama bwabwa hivi. Sasa hivi anapangusa matako ya boss wake GSM wa yanga, njaa mbaya sanaHaji Manara ameendelea kumnanga rafiki yake wa zamani, Paul Makonda ambaye kwasasa yupo kwenye mgogoro mzito na boss wake wa sasa, Gharib Mohammed(GSM). Manara amedai watu wengi wamekimbia nchi kwasababu ya uonevu wa Paul Makonda.
Manara amemtaka Makonda kuacha kutafuta huruma mitandaoni na sasa wanaongozwa kwa utaratibu badala ya ubabe. Pia Manara amehoji nani wa kumuua Makonda zaidi ya 'Stress' na kumtaka arudi Kolomije kwani sasa hana cheo.
Mwisho Manara amemaliza kwa kusema Makonda alilazimisha kuingia chumbani kwake kwasababu choo cha public sio hadhi yake.
Anyways huyu ndugu akiondoka sehemu au hamsini zenu zikiisha hana kifua, atayasema kwa mabaya yote mliyofanya kwa siri na dhahiri, hata GSM ajiandae siku wakienda sideways. Kwa Makonda pole sana, kuna muhenga alisema cheo ni kama koti la kuazima.
Pia, soma=> Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli
=> Haji Manara: Paul Makonda ulinilaza Korokoroni, acha dunia izunguke kwenye Mhimili wake
[emoji3059][emoji3059][emoji3059]Shukrani ....nimejihisi kufarijika... don't underestimate what you have just replied to me.
It shows that you care and that's what makes you a human being.
Shukrani.
Bora mabomu ya manara ni maneno ya shombo kuliko mabomu ya huyu katili yalikuwa ni uporaji, ukatili, mauaji na udhalilishaji!Jamaa ni chawa kweli kweli kaamua kujivika mabonu
huyu ni wa dunia ya peke yake, watanzania hatuna roho kama yakeBora mabomu ya manara ni maneno ya shombo kuliko mabomu ya huyu katili yalikuwa ni uporaji, ukatili, mauaji na udhalilishaji!
Daby ni short form ya Daudi BashiteWewe raia ulipotelea wapi?
Ila ayasemayo yamemkuta, ameshuhudia, yamengusa, ni mambo ya kishenzi, kama hivyo ana haki ya kusema inasaidia kupumua, kupunguza fukuto!Huyo naye mnafiki hata sio wa kumzingatia. Anafanya kwa kutumika
Yaani kwa posts hizi dhidi ya Makonda, nimeamini kweli Paul Christian Makonda ni MWAMBA hasa! Hakuna cha kujadili bajeti, wala uzinduzi anaofanya Mama wa SGR ya JPM, wala upandaji wa being wa mafuta. Ni Makonda tu! Kweli wewe ni MWAMBA!Haji Manara ameendelea kumnanga rafiki yake wa zamani, Paul Makonda ambaye kwasasa yupo kwenye mgogoro mzito na boss wake wa sasa, Gharib Mohammed(GSM). Manara amedai watu wengi wamekimbia nchi kwasababu ya uonevu wa Paul Makonda.
Manara amemtaka Makonda kuacha kutafuta huruma mitandaoni na sasa wanaongozwa kwa utaratibu badala ya ubabe. Pia Manara amehoji nani wa kumuua Makonda zaidi ya 'Stress' na kumtaka arudi Kolomije kwani sasa hana cheo.
Mwisho Manara amemaliza kwa kusema Makonda alilazimisha kuingia chumbani kwake kwasababu choo cha public sio hadhi yake.
Anyways huyu ndugu akiondoka sehemu au hamsini zenu zikiisha hana kifua, atayasema kwa mabaya yote mliyofanya kwa siri na dhahiri, hata GSM ajiandae siku wakienda sideways. Kwa Makonda pole sana, kuna muhenga alisema cheo ni kama koti la kuazima.
Pia, soma=> Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli
=> Haji Manara: Paul Makonda ulinilaza Korokoroni, acha dunia izunguke kwenye Mhimili wake
kuna muda ni busara kunyamaza,Haji Manara ameendelea kumnanga rafiki yake wa zamani, Paul Makonda ambaye kwasasa yupo kwenye mgogoro mzito na boss wake wa sasa, Gharib Mohammed(GSM). Manara amedai watu wengi wamekimbia nchi kwasababu ya uonevu wa Paul Makonda.
Manara amemtaka Makonda kuacha kutafuta huruma mitandaoni na sasa wanaongozwa kwa utaratibu badala ya ubabe. Pia Manara amehoji nani wa kumuua Makonda zaidi ya 'Stress' na kumtaka arudi Kolomije kwani sasa hana cheo.
Mwisho Manara amemaliza kwa kusema Makonda alilazimisha kuingia chumbani kwake kwasababu choo cha public sio hadhi yake.
Anyways huyu ndugu akiondoka sehemu au hamsini zenu zikiisha hana kifua, atayasema kwa mabaya yote mliyofanya kwa siri na dhahiri, hata GSM ajiandae siku wakienda sideways. Kwa Makonda pole sana, kuna muhenga alisema cheo ni kama koti la kuazima.
Pia, soma=> Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli
=> Haji Manara: Paul Makonda ulinilaza Korokoroni, acha dunia izunguke kwenye Mhimili wake
Pretoria?halafu ujinga wa wale wazee wa cartel walimuingiza kule ili wamtumie akiwa Rais wa Dar....sasa hana dili tena wamemtupa..
Rafiki yake Kinje na Kanyau na wale jamaa zake wa state wamemtupa sasa...siku hizi hata invitation za SA hakuna tena...akienda siku hizi inabidi ajilipie mpaka na hotel wakati alikuwa akiishi bure pale midlands apartment...hahahaha
Wewe jamaa umekuwa adimu sana[emoji3059][emoji3059][emoji3059]