Manara adai hakuna wa kumuua Makonda labda afe kwa 'stress' zake mwenyewe. Amtaka awaombe msamaha watanzania kwa dhulma

Manara adai hakuna wa kumuua Makonda labda afe kwa 'stress' zake mwenyewe. Amtaka awaombe msamaha watanzania kwa dhulma

Msitususe sana aisee.
Hadi tunawasahau.
Shukrani ....nimejihisi kufarijika... don't underestimate what you have just replied to me.

It shows that you care and that's what makes you a human being.

Shukrani.
 
Nchi hii huwa wanapenda sana story za kijinga jinga...... kuendelea ni ngumu sana....maana hizi ndizi story wananchi wake wanapenda kuzisikia
 
Wanafiki huwa wana kumbukumbu [emoji23][emoji23]
Yaani anakumbuka every details
Tunajua anaambiwa aseme nini ila swaumu hana [emoji23][emoji23]
 
Haji Manara ameendelea kumnanga rafiki yake wa zamani, Paul Makonda ambaye kwasasa yupo kwenye mgogoro mzito na boss wake wa sasa, Gharib Mohammed(GSM). Manara amedai watu wengi wamekimbia nchi kwasababu ya uonevu wa Paul Makonda.

Manara amemtaka Makonda kuacha kutafuta huruma mitandaoni na sasa wanaongozwa kwa utaratibu badala ya ubabe. Pia Manara amehoji nani wa kumuua Makonda zaidi ya 'Stress' na kumtaka arudi Kolomije kwani sasa hana cheo.

Mwisho Manara amemaliza kwa kusema Makonda alilazimisha kuingia chumbani kwake kwasababu choo cha public sio hadhi yake.

Anyways huyu ndugu akiondoka sehemu au hamsini zenu zikiisha hana kifua, atayasema kwa mabaya yote mliyofanya kwa siri na dhahiri, hata GSM ajiandae siku wakienda sideways. Kwa Makonda pole sana, kuna muhenga alisema cheo ni kama koti la kuazima.

Pia, soma=> Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli

=> Haji Manara: Paul Makonda ulinilaza Korokoroni, acha dunia izunguke kwenye Mhimili wake

Huyu Haji mbona kama bwabwa hivi. Sasa hivi anapangusa matako ya boss wake GSM wa yanga, njaa mbaya sana
 
Shukrani ....nimejihisi kufarijika... don't underestimate what you have just replied to me.

It shows that you care and that's what makes you a human being.

Shukrani.
[emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Nikawa najiuliza yule kaka mzuri mzuri ameenda wapi jamani.

Aksante umerudi.
 
Ni bora kukaa kimya hii dunia inazunguka kesho na kesho kutwa Malinda kateuliwa.....
 
Haji Manara ameendelea kumnanga rafiki yake wa zamani, Paul Makonda ambaye kwasasa yupo kwenye mgogoro mzito na boss wake wa sasa, Gharib Mohammed(GSM). Manara amedai watu wengi wamekimbia nchi kwasababu ya uonevu wa Paul Makonda.

Manara amemtaka Makonda kuacha kutafuta huruma mitandaoni na sasa wanaongozwa kwa utaratibu badala ya ubabe. Pia Manara amehoji nani wa kumuua Makonda zaidi ya 'Stress' na kumtaka arudi Kolomije kwani sasa hana cheo.

Mwisho Manara amemaliza kwa kusema Makonda alilazimisha kuingia chumbani kwake kwasababu choo cha public sio hadhi yake.

Anyways huyu ndugu akiondoka sehemu au hamsini zenu zikiisha hana kifua, atayasema kwa mabaya yote mliyofanya kwa siri na dhahiri, hata GSM ajiandae siku wakienda sideways. Kwa Makonda pole sana, kuna muhenga alisema cheo ni kama koti la kuazima.

Pia, soma=> Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli

=> Haji Manara: Paul Makonda ulinilaza Korokoroni, acha dunia izunguke kwenye Mhimili wake

Yaani kwa posts hizi dhidi ya Makonda, nimeamini kweli Paul Christian Makonda ni MWAMBA hasa! Hakuna cha kujadili bajeti, wala uzinduzi anaofanya Mama wa SGR ya JPM, wala upandaji wa being wa mafuta. Ni Makonda tu! Kweli wewe ni MWAMBA!
 
Haji Manara ameendelea kumnanga rafiki yake wa zamani, Paul Makonda ambaye kwasasa yupo kwenye mgogoro mzito na boss wake wa sasa, Gharib Mohammed(GSM). Manara amedai watu wengi wamekimbia nchi kwasababu ya uonevu wa Paul Makonda.

Manara amemtaka Makonda kuacha kutafuta huruma mitandaoni na sasa wanaongozwa kwa utaratibu badala ya ubabe. Pia Manara amehoji nani wa kumuua Makonda zaidi ya 'Stress' na kumtaka arudi Kolomije kwani sasa hana cheo.

Mwisho Manara amemaliza kwa kusema Makonda alilazimisha kuingia chumbani kwake kwasababu choo cha public sio hadhi yake.

Anyways huyu ndugu akiondoka sehemu au hamsini zenu zikiisha hana kifua, atayasema kwa mabaya yote mliyofanya kwa siri na dhahiri, hata GSM ajiandae siku wakienda sideways. Kwa Makonda pole sana, kuna muhenga alisema cheo ni kama koti la kuazima.

Pia, soma=> Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli

=> Haji Manara: Paul Makonda ulinilaza Korokoroni, acha dunia izunguke kwenye Mhimili wake

kuna muda ni busara kunyamaza,
 
halafu ujinga wa wale wazee wa cartel walimuingiza kule ili wamtumie akiwa Rais wa Dar....sasa hana dili tena wamemtupa..

Rafiki yake Kinje na Kanyau na wale jamaa zake wa state wamemtupa sasa...siku hizi hata invitation za SA hakuna tena...akienda siku hizi inabidi ajilipie mpaka na hotel wakati alikuwa akiishi bure pale midlands apartment...hahahaha
Pretoria?
 
Back
Top Bottom