Manara amepotosha, Bandari ya Dar ilikuwepo siku zote, Mreno na Muarabu wameikuta

Manara amepotosha, Bandari ya Dar ilikuwepo siku zote, Mreno na Muarabu wameikuta

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
11,550
Reaction score
40,697
Kuna upotoshaji mkubwa umefanywa na Manara ukishabikiwa na madalali wa kugawa bandari zetu kwa muarabu.

Kuweka kumbukumbu za kihistoria sawa hapa JF nitaweka ufafanuzi kumjibu Manara.

1. Bandari ya Dar imekuwepo karne nyingi sana kabla ya wavamizi wageni kutoka sehemu mbali mbali duniani kuja ukanda wa Afrika mashariki. Wageni wa mwanzo mwanzo kabisa walikuwa ni wareno ambao kihistoria walikuwa ni wajuzi wakubwa wa safari za masafa ya baharini, walitua na kuweka nanga ya meli zao kwenye ukanda wote wa pwani ya bahari ya hindi barani Afrika ikiwemo Dar na Mombasa, nao pia walikuta kuna bandari.

2. Wageni wote walikuja na kuikuta bandari ya Dar ikiwa pale na kuitumia au kuboresha ili kukidhi shughuli zao mbalimbali zikiwemo za kipepelezi, kivita, kidini na kibiashara.

3. Muarabu hakujenga bandari, bali aliirasimisha bandari ya Dar kuwa sehemu ya kufanyia biashara zake za kubebea watumwa, kutoroshea pembe za ndovu, vipusa na tunu mbalimbali za wazawa.


Bandari ya Dar haikuletwa na mtu yoyote na haikuanzishwa wala kujengwa na mvamizi yoyote bali iliporwa na wavamizi mbalimbali na kutumiwa kwa maslahi yao.
 
Kuna upotoshaji mkubwa umefanywa na Manara ukishabikiwa na madalali wa kugawa bandari zetu kwa muarabu.

Kuweka kumbukumbu za kihistoria sawa hapa JF nitaweka ufafanuzi kumjibu Manara.

1. Bandari ya Dar imekuwepo karne nyingi sana kabla ya wavamizi wageni kutoka sehemu mbali mbali duniani kuja ukanda wa Afrika mashariki. Wageni wa mwanzo mwanzo kabisa walikuwa ni wareno ambao kihistoria walikuwa ni wajuzi wakubwa wa safari za masafa ya baharini, walitua na kuweka nanga ya meli zao kwenye ukanda wote wa pwani ya bahari ya hindi barani Afrika ikiwemo Dar na Mombasa, nao pia walikuta kuna bandari.

2. Wageni wote walikuja na kuikuta bandari ya Dar ikiwa pale na kuitumia au kuboresha ili kukidhi shughuli zao mbalimbali zikiwemo za kipepelezi, kivita, kidini na kibiashara.

3. Muarabu hakujenga bandari, bali aliirasimisha bandari ya Dar kuwa sehemu ya kufanyia biashara zake za kubebea watumwa, kutoroshea pembe za ndovu, vipusa na tunu mbalimbali za wazawa.


Bandari ya Dar haikuletwa na mtu yoyote na haikuanzishwa wala kujengwa na mvamizi yoyote bali iliporwa na wavamizi mbalimbali na kutumiwa kwa maslahi yao.
Manara ni chawa anaishi na waarabu pale kwenye jengo la GSM unafikiri atasema nini zaidi ya uchawa!
 
Huo Manara ameqnza kuwa taahira, ila sasa...,

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Huu mtindo wako kila comments zako ni "hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa" unafirahisha Sana..
 
Manara ni popo, si myama wala si ndege
Nakumbuka akiwa mdogo kabisa aliletwa kwa babu yake pale Mtaa wa Twiga ikidaiwa katoka Australia na baba yake😂😂

Tena Walikuwa Wawili sijui mwenzake aliishia wapi!!
 
Kuna upotoshaji mkubwa umefanywa na Manara ukishabikiwa na madalali wa kugawa bandari zetu kwa muarabu.

Kuweka kumbukumbu za kihistoria sawa hapa JF nitaweka ufafanuzi kumjibu Manara.

1. Bandari ya Dar imekuwepo karne nyingi sana kabla ya wavamizi wageni kutoka sehemu mbali mbali duniani kuja ukanda wa Afrika mashariki. Wageni wa mwanzo mwanzo kabisa walikuwa ni wareno ambao kihistoria walikuwa ni wajuzi wakubwa wa safari za masafa ya baharini, walitua na kuweka nanga ya meli zao kwenye ukanda wote wa pwani ya bahari ya hindi barani Afrika ikiwemo Dar na Mombasa, nao pia walikuta kuna bandari.

2. Wageni wote walikuja na kuikuta bandari ya Dar ikiwa pale na kuitumia au kuboresha ili kukidhi shughuli zao mbalimbali zikiwemo za kipepelezi, kivita, kidini na kibiashara.

3. Muarabu hakujenga bandari, bali aliirasimisha bandari ya Dar kuwa sehemu ya kufanyia biashara zake za kubebea watumwa, kutoroshea pembe za ndovu, vipusa na tunu mbalimbali za wazawa.


Bandari ya Dar haikuletwa na mtu yoyote na haikuanzishwa wala kujengwa na mvamizi yoyote bali iliporwa na wavamizi mbalimbali na kutumiwa kwa maslahi yao.
Watu wasio na uonowala akili za kuwatosha kama Manara kuingia mjadala wa Bandari, eti ni ya waarabu, basi ujue tumwkwisha.
 
Eti bandari ilikuepo kabla ya wareno na waarabu, hao babu zako walikuwa wanajua nii Bandari? PUMBA TUPU.
 
Mohamed aliwahi kua boss wake Haji, sasa baada ya Haji kufukuzwa Simba na akaanza kumuita Mohamed eti mudi  na mwamedi hapo ndipo nilipo gundua kwamba Haji hana akili timamu...🤣
 
Huo Manara ameqnza kuwa taahira, ila sasa...,

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Ni Tanzania tu utakakutana na ujinga kama huu. Angalia timu za malumbano
Timu A: 1. Profesa Shivji. 2. Profesa Tibaijuka 3. Tundu Lissu 4. Dr Padre Kitima. 5. Dr Slaa. 6. Balozi Warioba 7. Chama cha wanasheria Tanzania
Timu B: 1. Haji Manara 2. Maulidi Kitenge 3. Zembwela 4. Musukuma Kasheku 5. Sheikh Mwaipopo
6. Kasim Majaliwa 3. Chama cha wasanii Tanzania
 
Back
Top Bottom