Huyu huyu dada yetu wa znz?hebu nipe linkLeo nimesoma historia ya Bi Mkubwa, mmmmm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu huyu dada yetu wa znz?hebu nipe linkLeo nimesoma historia ya Bi Mkubwa, mmmmm
mkuu mbona mi wa 2009.Daah ww jamaa ulikuwepo toka 2010 una comment.....si mchezo
alitapeli milioni 36 za pafyumuManara ni mjanja mmoja tu, kuna kipindi alikuwa na kesi ma mwarabu mmoja hivi kamtapeli zile perfume zake alizokuwa anauza, bila shaka habari yake ilifika humu.
Nadhani ilikuwa kama milioni 200 hivi,walikubaliana mzigo uuzwe kwa jina la manara mwamba akauza na pesa akafinyia kwa ndani.
Huyu manara alishawahi kuwa punda wa kuuza sembe huko South Africa. Huyu kijana ni tapeli,punda n.kManara ni mjanja mmoja tu, kuna kipindi alikuwa na kesi ma mwarabu mmoja hivi kamtapeli zile perfume zake alizokuwa anauza, bila shaka habari yake ilifika humu.
Nadhani ilikuwa kama milioni 200 hivi,walikubaliana mzigo uuzwe kwa jina la manara mwamba akauza na pesa akafinyia kwa ndani.
Ni mjanja mmoja wa mjini ambae ametembea viuzuri na upepo wa simba.Huyu manara alishawahi kuwa punda wa kuuza sembe huko South Africa. Huyu kijana ni tapeli,punda n.k
Alimdhulumu yule mwarabu kupitia bashite,walimchimba mkwara akasepaManara ni mjanja mmoja tu, kuna kipindi alikuwa na kesi ma mwarabu mmoja hivi kamtapeli zile perfume zake alizokuwa anauza, bila shaka habari yake ilifika humu.
Nadhani ilikuwa kama milioni 200 hivi,walikubaliana mzigo uuzwe kwa jina la manara mwamba akauza na pesa akafinyia kwa ndani.
Shida ni kwamba tuliwaambia jamaa ni samjo ila wakawa awatuelewiKwa hii CV yake bado mnawalaumu Simba kumpumzisha kazi?
Kutoka mkoa gani wewe?Historia inaonyesha manara alikuwa mwizi wa magari ya ccm kwa kuuza bila ridhaa ya ccm hivyo manara ni kibaka kwenye mpira
Umenunulia bei gani na Mudy?Historia inaonyesha manara alikuwa mwizi wa magari ya ccm kwa kuuza bila ridhaa ya ccm hivyo manara ni kibaka kwenye mpira
Yap. Ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu.
Ccm huwa hawafungwiMahakama ilimfunga miaka mingapi kwa makosa haya?
Hoja ziko pale pale uwekezaji wa kitapeli unaofanywa na Mo a.k.a Hindi janja janja kwa Simba .Tunataka mjibu hoja alizotoa Manara hayo mengine hayatuhusu mnajifanya mnaleta stori zingine kuzima mjadala . Amesema na bado atasema zaidi ya hayo na kaa ukijua Kuna kundi kubwa nyuma ya Manara kadiri muda utakavyokuwa unasogea watajitokeza wazi wazi mjadala ukianzia kwenye hoja za Manara na siku zote utapeli haudumu ni suala la muda Tu