Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe mnaamini ushirikina....Kuna siku nilikomenti kwenye Uzi mmoja unaosema yanga wamechoka,nilijibu yanga haija xhoka ila wanasumbuliwa na mambo ya nje ya uwanja na kushari injinia awarudishe haraka wale waliomsaidia kupata makombe misimu iliyopita nilimaanisha huyu kiumbe manara,Kosa walilofanya Simba kumbeza huyu ndilo lililowaghalimu nakupoteza makombe yote na Sasa yanga wanafanya Kosa hilohilo nawaambia kibuli Chao kitawaponza,manara anajua fitina na NAMNA ya kueadhibiti makolo.
Duh!...Manara ndio ameshikilia ushindi wa Yanga, japo Yanga inashinda ila inapata tabu sana kupata magoli, jaribu kuangalia mechi zao ndio utaona hii kitu, wanam dominate mpinzani, wana create chances lakin kufunga ndo shughuli
Nasikia amewapa deadline yanga wasipo mrudisha anatoa madudu yake wapambane na hali zao.Kama mnavyojua, huyu ndio mastermind wa mipango ya ushindi. Kifupi ni kwamba Manara ndio ameleta makombe Yanga.
Kama mtakumbuka Simba ilibeba makombe karibu yote mfululizo ila kuondoka kwa Manara ilikuwa pigo kubwa, makombe yakakauka gafla paka leo Simba iko hoi bin taabani.
Sasa kitendo cha kumuengua kwenye nafasi ya usemaji mjue mnaenda kupoteana na kupoteza makombe yote.
Bado hamjachelewa lakini.
Kama mnavyojua, huyu ndio mastermind wa mipango ya ushindi. Kifupi ni kwamba Manara ndio ameleta makombe Yanga.
Kama mtakumbuka Simba ilibeba makombe karibu yote mfululizo ila kuondoka kwa Manara ilikuwa pigo kubwa, makombe yakakauka gafla paka leo Simba iko hoi bin taabani.
Sasa kitendo cha kumuengua kwenye nafasi ya usemaji mjue mnaenda kupoteana na kupoteza makombe yote.
Bado hamjachelewa lakini.
mwarabu feki na mawazo fekiKama mnavyojua, huyu ndio mastermind wa mipango ya ushindi. Kifupi ni kwamba Manara ndio ameleta makombe Yanga.
Kama mtakumbuka Simba ilibeba makombe karibu yote mfululizo ila kuondoka kwa Manara ilikuwa pigo kubwa, makombe yakakauka gafla paka leo Simba iko hoi bin taabani.
Sasa kitendo cha kumuengua kwenye nafasi ya usemaji mjue mnaenda kupoteana na kupoteza makombe yote.
Bado hamjachelewa lakini.