mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Mikelele Siku hizi Haina Maana.Matokeo yameshatoka heshima ya yanga kwishney!!
Na wachambuzi wa mchele tz waliovamia kuchambua soka wakawa wanaitetea utopolo sio lzm kwenda nje kufata international friendly match, na kuibeza simba eti inapoteza resources tuuMikelele Siku hizi Haina Maana.
Wenzio wanatafuta international friendly Matches...Wewe unakwenda kucheza na Mbuni Fc na Friend Rangers Ya Manzese ..kweli?
Naona umeamua kuwavua nguo kabisa!!