Manara Leo anasema yeye Yanga kuliko wote. Shame Mashabiki wa Yanga mpo Kimya?

Yanga wamejaa mapoyoyo haiwezekani mtu awatukane miaka yote hiyo harafu leo mnamchekelea anakuja kujifanya ni yanga dam wakati mnahema alikua anawatukana hasa.Pigeni chini huyo snich.Hivi hata akili hamna jamani watani
Simba wamemkataa Dulla Makabila Kwa issue kama hizo ila UTO ilimradi unaikashifu Simba muda huu hata kama uliwahi kuinyea timu Yao wanakukaribisha. AIBU😔
 
Yanga wamejaa mapoyoyo haiwezekani mtu awatukane miaka yote hiyo harafu leo mnamchekelea anakuja kujifanya ni yanga dam wakati mnahema alikua anawatukana hasa.Pigeni chini huyo snich.Hivi hata akili hamna jamani watani
Huu ni ushahidi mwingine kwamba kauli ilikuwa sahihi. Dulla Makabila aliikashifu kidogo tu Simba, lakini fans wamekomaa naye uongozi umemnyima kazi. Yanga akili hawana
 
Yanga wamejaa mapoyoyo haiwezekani mtu awatukane miaka yote hiyo harafu leo mnamchekelea anakuja kujifanya ni yanga dam wakati mnahema alikua anawatukana hasa.Pigeni chini huyo snich.Hivi hata akili hamna jamani watani
Yaani Simba ni vizibo kweli, kumbe miaka yote walikuwa wanaishi na mtu ambaye mkiifunga Yanga alikuwa anaumia?
Mimi nionacho Simba ndiyo wanaumizwa zaidi na Manara, sababu wao ndiyo wanamfuatilia na kumsikikiza hatua kwa hatua, Yanga wala hawana taimu naye
 
Manara ni kirusi na amekuja kuchafua hali ya hewa, na anajaribu kuleta chokochoko kwa Mnyama lakini Semaji linampiga za Chembe mpaka anapagawa, Kwa kifupi Mzungu poli anaifubaza Yanga maana anachokiongea hakieleweki anajitia kidole na kujinusa. Watu hatuna habari.
Fukuza hilo Boyaaa linaitia nuksi Klabu maana kila siku anakuja propaganda za Kiboya lakini anajibiwa Kisayansi na Kiteknolojia na Madogo ya kumuumiza roho. Ngoja kesho tuamke tusikilizie atakuja ni porojo gani
 
Aliumia sehem gan?

Nani aliyemumza?

Anyway Naomben majib wakuu
 
Huyu miaka mingi alikuwa Simba kuliko Yanga,kwanini usijiulize aliposema Yanga wenye akili ni wawili,na ameonyesha kwa vitendo kawatukana na amekuwa kiongozi wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…