Manara Leo anasema yeye Yanga kuliko wote. Shame Mashabiki wa Yanga mpo Kimya?

Manara Leo anasema yeye Yanga kuliko wote. Shame Mashabiki wa Yanga mpo Kimya?

Mashabiki mapoyoyo tu wa Yanga wanasikiliza hilo zeruzeru.

Njaa na starehe za uzeeni zinamfanya azurule na kuomba omba kila kona
 
Manara ni Yanga kweli, hilo halina utata kwa tuliokulia Kariakoo na tunaoijuwa Yanga toka ipo mtaa wa Mafia na Ukame.
Huyo zeruzeru ni njaa inamsumbua. Na modweji hataki kabisa shobo na machawa wanaokula kwa kupepeta mdomo
 

Attachments

  • Wanasimba wooote mnaopambana kwenye timu nyingine huko jukwaa lenu la siri tumewaandalia SIMBA...mp4
    1.8 MB
Kama kuna mtu anaumia kwa hiyo kauli yake basi ni poyoyo..

Kwani nikisema mimi ni yanga kuliko wote kuna shida gani hapo??
 
Simba wamemkataa Dulla Makabila Kwa issue kama hizo ila UTO ilimradi unaikashifu Simba muda huu hata kama uliwahi kuinyea timu Yao wanakukaribisha. AIBU[emoji17]
Nadhani kuna aina mbili za kiuongozi, Uongozi wa Simba huwa unapenda kusikiliza sana nini mashabiki wanasema/ wanataka na ndio maana kuna makocha wengi wamefukuzwa, wachezaji wengi wamesitishwa mikataba na kuachwa, wachezaji wengi wameletwa kutokana na shinikozo la mashabiki. Mfano kurudi kwa Chama na Luis.

Uongozi wa Yanga upo tofauti, wao wanasimamia wanachoamini na sio wanachotaka mashabiki au wanachama. Mfano mashabiki walipiga kelele kurudi kwa Morisson lakini wapi. Usajili wa Mkude ulipigiwa kelele asisajiliwe lakini wapi, Manara ujio wake mashabiki walishinikiza asipewe kazi Yanga lakini wapi, usajili wa Chama watu waliukataa lakini wapi. Na mwisho kurudi kwa Manara kwa mara nyingine sio kama mashabiki hawajapaza sauti bali wamemkataa sana lakini uongozi wa Yanga wameweka pamba masikioni. Hapa unaona aina mbili za kiuongozi
 
Kama kuna mtu anaumia kwa hiyo kauli yake basi ni poyoyo..

Kwani nikisema mimi ni yanga kuliko wote kuna shida gani hapo??
Shida iliyopo ni kuwa wenye akili Yanga wako wawili tu, wewe haumo hivyo huwezi kuona tatizo
 

Attachments

  • Wanasimba wooote mnaopambana kwenye timu nyingine huko jukwaa lenu la siri tumewaandalia SIMBA...mp4
    1.8 MB
Yanga na simba ni imani, so nadhani shabiki mliwa jicho pekee ndo anaweza kuwa na ujasiri kuhama baina ya hizi timu mbili. Huyu boya manara arudi alikokuwa binafsi siridhiki na ujio wake Yanga. Hii kuokota okota ma ex wa watu iko siku Wananchi tutaambulia magonjwa yasiyo na tiba. Fvck manara na waliokuleta
 
Mashabiki wa mpira wabongo mnachukulia mambo serious kuna mjinga mmoja anabishana hadi anavua shati
Yanga na simba zimekuwa club kubwa zilivo kwakuwa na mashabiki na wananchama wahafidhina na extremists. Huwezi kuwa na misimamo ya wastani ukajenga club zinazoigawa nchi mara 2 kiushabiki otherwise unaishia kuwa kama kina Azam. Kwahiyo yes ni sahihi kabisa kubishana hadi kuvua shati linapokuja suala la Yanga na simba.
 
Njaa yake ni kaliiiii.

Miaka 60, anazurula kwenye viappartment vya kupanga na vitoto.

Nuru ya uso Hakuna, FILTERS za simu zinamdanganya
= anazurura.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Nadhani kuna aina mbili za kiuongozi, Uongozi wa Simba huwa unapenda kusikiliza sana nini mashabiki wanasema/ wanataka na ndio maana kuna makocha wengi wamefukuzwa, wachezaji wengi wamesitishwa mikataba na kuachwa, wachezaji wengi wameletwa kutokana na shinikozo la mashabiki. Mfano kurudi kwa Chama na Luis.

Uongozi wa Yanga upo tofauti, wao wanasimamia wanachoamini na sio wanachotaka mashabiki au wanachama. Mfano mashabiki walipiga kelele kurudi kwa Morisson lakini wapi. Usajili wa Mkude ulipigiwa kelele asisajiliwe lakini wapi, Manara ujio wake mashabiki walishinikiza asipewe kazi Yanga lakini wapi, usajili wa Chama watu waliukataa lakini wapi. Na mwisho kurudi kwa Manara kwa mara nyingine sio kama mashabiki hawajapaza sauti bali wamemkataa sana lakini uongozi wa Yanga wameweka pamba masikioni. Hapa unaona aina mbili za kiuongozi
Ni kwasababu timu inapata matokeo. Siku timu ikianza kupoteana, watu wataanza kunyoosheana vidole na kufukuzana hapo Yanga
 
Nadhani kuna aina mbili za kiuongozi, Uongozi wa Simba huwa unapenda kusikiliza sana nini mashabiki wanasema/ wanataka na ndio maana kuna makocha wengi wamefukuzwa, wachezaji wengi wamesitishwa mikataba na kuachwa, wachezaji wengi wameletwa kutokana na shinikozo la mashabiki. Mfano kurudi kwa Chama na Luis.

Uongozi wa Yanga upo tofauti, wao wanasimamia wanachoamini na sio wanachotaka mashabiki au wanachama. Mfano mashabiki walipiga kelele kurudi kwa Morisson lakini wapi. Usajili wa Mkude ulipigiwa kelele asisajiliwe lakini wapi, Manara ujio wake mashabiki walishinikiza asipewe kazi Yanga lakini wapi, usajili wa Chama watu waliukataa lakini wapi. Na mwisho kurudi kwa Manara kwa mara nyingine sio kama mashabiki hawajapaza sauti bali wamemkataa sana lakini uongozi wa Yanga wameweka pamba masikioni. Hapa unaona aina mbili za kiuongozi
Ni kwasababu timu inapata matokeo. Siku timu ikianza kupoteana, watu wataanza kunyoosheana vidole na kufukuzana hapo Yanga
 
Manara ni Yanga kweli, hilo halina utata kwa tuliokulia Kariakoo na tunaoijuwa Yanga toka ipo mtaa wa Mafia na Ukame.
Siku akifuta kauli ya wenye akili yanga ni wawili tu, ndio nitaamini kuwa Haji ni Yanga
 
Siku akifuta kauli ya wenye akili yanga ni wawili tu, ndio nitaamini kuwa Haji ni Yanga
Unaona anavyoijuwa kazi yake, maneno yake mpaka leo yana "impact".

Wenye akili wajazana kugombania supu jangwani?

Fikiri.
 
Manara abused yanga fans and their leaders . Today is out here , claiming he is more of a yanga fan than the rest of Yanga fans.

Yanga fans are taken as fools . In day light

View attachment 3059939
mzee unataka tuache kufanya mambo ya maana tushughulike na upuuzi!!!hizo ni mambo yenu makolo,kamasio manara yanga sana we unadhani nani yanga sana?
 
Back
Top Bottom