Manara (Msemaji wa Yanga SC) acha Unafiki na Kujifanya mwema, halafu nani Kakudanganya kuwa Adui yako mkubwa Dauda ndiyo Mightier wa JF?

Manara (Msemaji wa Yanga SC) acha Unafiki na Kujifanya mwema, halafu nani Kakudanganya kuwa Adui yako mkubwa Dauda ndiyo Mightier wa JF?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
hajismanara Jana nilipoona hii taarifa usiku ilinistua sana na kunifadhaisha mno, huwa najisikia shida nikiona mtu nimjuae akiingia ktk matatizo yoyote yale no matter what.

Binadamu hatupaswi kufurahia pale mwenzetu anapopata mitihani au vitu kama hv, ingawa baadhi yetu tumekuwa na desturi ya kufurahia shida za Watu na wakati mwingine kuombeana mabaya kabisa

Inafika muda mtu anaweka kabisa post ya kutaka mtu anaemjua kabisa afungiwe au hata afungwe jela au kushtakiwa, hii sio uungwana ndugu zangu, na tujue shida na matatizo hayana mmoja na sote hatuijui kesho yetu.

Nakumbuka vzuri nilipoondoka Simba, baadhi ya watu ninaowafahamu na ambao hata kuchill sometimes tunachil wote, jinsi walivyofurahia na kuandika makala moto moto za hadi kusema nimekwisha, Wengine walienda mbali zaidi na kusema sitaajiriwa kokote, na ntapoteza endowments zangu zote za kibiashara, utadhani wao ndio wagawa rizki au Manaibu Mungu vile!!

Hivi unawezaje kibinadaamu Mhangaikaji mwenzio na mpo wote ktk tasnia ya football, ukapost video ya mtu wa mtaani anasema Fulani anapaswa kushtakiwa au afungwe jela na hafai kuwemo ktk Soka, Mpira huu huu au vita ndugu zangu? Tupende kuweka akiba Mabibi na Mabwana! Sote tunahitajiana kwa hili au lingine.

Mtu umepata kifursa kidogo cha kusikika redioni basi kutwa kutaka wenzio waharibikiwe,,unatumia kipindi cha masaa zaidi ya mawili kumsema binadamu mwenzako, tena unazishangaa mamlaka za Soka kwa kumpiga faini binadamu mwenzio, badala ya kumfungia,,,au kutaka Polisi wakamate wenzio kisa nn? Punguzeni hzo roho watu wangu, tuna kesho yetu tusiyoijua

Tusipende kuombeana mabaya kwa kuwa tu tunatofautiana mitazamo ya kikazi au ya kishabiki wa mpira, mimi kwangu naona huo ni ushenzi na ushamba, na ktk jambo hili la ndugu yangu huyu,,kutoka moyoni namuombea kwa Mungu na naamini litaisha, cc watu wa mpira ni wasamehevu na naamini TFF (@tanfootball) wanazungumzika kwa maslahi makubwa ya football.

Pole bro na naamini jambo lako litaisha kwa amani 🙏🏻
@shaffihdauda_

au Manara unadhani hatujui jana ulivyokuwa na Furaha baada ya Kusikia Dauda kala hiyo Nyundo ya TFF?

Mnafiki mkubwa Wewe eti leo ndiyo unajifanya Kutuzuga kwa Kuongea maneno ya Busara na Hekima kuhusu Mpira wa Tanzania wakati ni Wewe huyu huyu Juzi uliwachafua Simba SC, Tanzania kama nchi na Wadau wa Michezo kwa ile post yako ya Kikatili Instagram uliyowaandikia Watu wa Asec Mimosas ambayo nashangaa kwanini mpaka hii leo Wizara, Polisi na TFF hawajakuita Kukuhoji na Kukuadhibu vikali pia.

Yes Mimi Mightier wa hapa JamiiForums ndiyo nilianzisha juzi Mada za kutaka Ukamatwe, Uhojiwe na Ufungiwe katika Medani za Soka nchini na najua tu kuwa Siku si nyingi Unaadhibiwa tena anza Kujiandaa Kisaikolojia.

Nitaacha Kukuandama hapa JamiiForums mpaka pale tu nawe utakapoacha Kutuandama Simba SC, Kutuchafua, Kuichafua Brand yetu na Kuwatukana Matajiri na Viongozi wetu Waandamizi.

Endelea tu kunihisi Mimi ndiyo Dauda!
 
Hata hivyo hilo andiko lake kuna malalamiko yake binafsi kuliko kumpa pole Dauda aliyemkusudia, huyu si wakumwamini hata kidogo.

Mbona kama ilitosha kutoa pole kuliko kuanza na mambo ya Simba SC

Yaani huyu mpuuzi kweli nimeamini Ghalib kamnunua ili aitukane Simba SC
 
Wewe jamaa siku ukihama kwa shemeji yako ndo utaacha kuandika huu utoto na ujinga mtandaoni. Manara ni mwanaume anayepambana kujilisha kwa njia aijuaye yeye inakuwaje umwandame kila siku kama vile alikuwa basha wako akakuacha na sasa unatapa tapa...?acha utoto wewe jamaa andiko la manara liko poa na lina hekima ndani yake.
 
Tukisema huyu mleta mada ni nut case mnakuwa wabishi.

Leo mmeona sasa na bahati nzuri hata simba wenzio wanakupuuza..!

Unatafuta umaarufu wa kijinga.
 
Manara ni mjinga mmoja asie na professionalism yoyote, atafute wajinga wenzie akawadanganye.
 
Ila we jamaa una uchizi na sifa kijinga Kama wazee wa kwenye kahawa
 
Sema na wewe jamaa unajipaisha tu,mbona nimesoma pote sijaona mahali amakuhisi wewe ndo Dauda!?

Au unataka sisi tuhisi wewe ndo Dauda?

Huwa unaokota vistori vyako huko,unatuletea hapa,huwa tunasoma tu kwakua hapa ni JF,ila usifike mahali unataka kujipaisha eti Manara anakuhisi wewe ndo Dauda!?

Ukute Manara hajui hata umepost kitu huku maskini ya Mungu.
 
Sema na wewe jamaa unajipaisha tu,mbona nimesoma pote sijaona mahali amakuhisi wewe ndo Dauda!...
Umetumia nguvu kubwa sana kumjibu huyo Jamaa huku ukionyesha dhahiri kabisa chuki zako kwake je, mnadaiana au labda mnajuana na pengine alishawahi kuwa mumeo?
 
Ndo jiulize kwanini anapigwa ban yeye kila siku na I'd mpya halafu anajiona mjanja.
Kumbe kilaza kabisa na mwandiko wake wa mwalimu wa kiswahili 😁😁
Hii nguvu ya kupenda kumfuatilia huyo Jamaa ungeitumia kupambana katika kujikwamua na umasikini mkubwa ulionao na pengine hata kuuondoa ujuha wako kichwani leo usingekuwa mbali?

Halafu kupigwa kwake hiyo ban wewe zinakufaidisha na nini labda? sikujui ila nahisi una vijitabia vya ushoga halafu bipolar disorder inakusumbua. Hujachelewa kuwahi Hospitalini kuanza tiba.
 
Sema na wewe jamaa unajipaisha tu,mbona nimesoma pote sijaona mahali amakuhisi wewe ndo Dauda!?....
Hili jamaa ni la kulionea huruma tu
Anadhani tunavyosoma tunapenda kumbe tunatazama tu ujinga wake
 
Hii nguvu ya kupenda kumfuatilia huyo Jamaa ungeitumia kupambana katika kujikwamua na umasikini mkubwa ulionao na pengine hata kuuondoa ujuha wako kichwani leo usingekuwa mbali? Halafu kupigwa kwake hiyo ban wewe zinakufaidisha na nini labda? sikujui ila nahisi una vijitabia vya ushoga halafu bipolar disorder inakusumbua. Hujachelewa kuwahi Hospitalini kuanza tiba.
Sitakujibu tena genta kachunge mifugo ya baba yako hapo bunda. Otherwise utapigwa ban na hii I'd.
 
Hii nguvu ya kupenda kumfuatilia huyo Jamaa ungeitumia kupambana katika kujikwamua na umasikini mkubwa ulionao na pengine hata kuuondoa ujuha wako kichwani leo usingekuwa mbali? Halafu kupigwa kwake hiyo ban wewe zinakufaidisha na nini labda? sikujui ila nahisi una vijitabia vya ushoga halafu bipolar disorder inakusumbua. Hujachelewa kuwahi Hospitalini kuanza tiba.
@Moderator
 
Back
Top Bottom