Hii nguvu ya kupenda kumfuatilia huyo Jamaa ungeitumia kupambana katika kujikwamua na umasikini mkubwa ulionao na pengine hata kuuondoa ujuha wako kichwani leo usingekuwa mbali? Halafu kupigwa kwake hiyo ban wewe zinakufaidisha na nini labda? sikujui ila nahisi una vijitabia vya ushoga halafu bipolar disorder inakusumbua. Hujachelewa kuwahi Hospitalini kuanza tiba.