Manara ni kirusi ameua wengi Yanga

Manara ni kirusi ameua wengi Yanga

Justine Marack

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
612
Reaction score
1,698
Wakati Manara Yuko Simba tulidhani ni kawaida kumuona akig'ara Kwa umaarufu. Tulidhani alistahili kuwa hivyo kutokana na nafasi yake. Lakini uchunguzi umeleta mambo tofauti kabisa.

Katika kauli zake amekua akitamka vita ya umaarufu, na maranyingi amekua alisema anapigwa vita Kwa umaarufu wake. Kila akikosana na mtu anakimbilia kusena kuwa ni sababu ya umaarufu.

... Ukweli ni kwamba Manara ndiye anaweka vita na watu maarufu katika soka. Mfano: Antonio Nugaz, Bumbuli, Mo dewj, Shaffi Dauda, Jemedari nk.

Wapo watu walikuta Maarufu upande wa Yanga lakini Manara amewapoteza( AMEUA umaarufu wao) baada ya kuhamia Yanga. Mfano:

Mzee mpili, Jimmy Kindoki, Daud Yanga, Frank Yanga, Mzee wa Utopolo na wengine wengi.

Ilifikia hatua hao watu kualikwa redioni na television kwenye vipindi vya michezo. Tunajua wapo ambao walikuta wameanza kupata umaarufu na sio muda labda wangepata dili za ubalozi au matangazo. Lakini baada ya Manara kuingia Yanga, hao wote wamepotea.

Manara anapenda aonekane anafanya Kila kitu ma kupata Umaarufu yeye.
Jambo la kujiuliza, kwanini anavita na Kila mtu? Mpaka Mzee Karia eti anataka umaarufu wa Manara!? Mzee Karia Anataka followers?

Kwanini Manara hataki kushiriliana na wengine wanao unekana kuibuka pale alipo?

Tukubaliane, Manara AMEUA nyota za wengi
 
Wakati Manara Yuko Simba tulidhani ni kawaida kumuona akig'ara Kwa umaarufu. Tulidhani alistahili kuwa hivyo kutokana na nafasi yake. Lakini uchunguzi umeleta mambo tofauti kabisa.

Katika kauli zake amekua akitamka vita ya umaarufu, na maranyingi amekua alisema anapigwa vita Kwa umaarufu wake. Kila akikosana na mtu anakimbilia kusena kuwa ni sababu ya umaarufu.

... Ukweli ni kwamba Manara ndiye anaweka vita na watu maarufu katika soka. Mfano: Antonio Nugaz, Bumbuli, Mo dewj, Shaffi Dauda, Jemedari nk.

Wapo watu walikuta Maarufu upande wa Yanga lakini Manara amewapoteza( AMEUA umaarufu wao) baada ya kuhamia Yanga. Mfano:

Mzee mpili, Jimmy Kindoki, Daud Yanga, Frank Yanga, Mzee wa Utopolo na wengine wengi.

Ilifikia hatua hao watu kualikwa redioni na television kwenye vipindi vya michezo. Tunajua wapo ambao walikuta wameanza kupata umaarufu na sio muda labda wangepata dili za ubalozi au matangazo. Lakini baada ya Manara kuingia Yanga, hao wote wamepotea.

Manara anapenda aonekane anafanya Kila kitu ma kupata Umaarufu yeye.
Jambo la kujiuliza, kwanini anavita na Kila mtu? Mpaka Mzee Karia eti anataka umaarufu wa Manara!? Mzee Karia Anataka followers?

Kwanini Manara hataki kushiriliana na wengine wanao unekana kuibuka pale alipo?

Tukubaliane, Manara AMEUA nyota za wengi
Manara ana ujinga mwingi sana aisee
 
Nchi hii we piga kelele lopolopo nyingi
utakuwa maarufu

Ova
 
Cheo cha Msemaji wa Klabu nakisikia Bongo tu, hivi klabu kubwa za soka duniani, zenye mafanikio zina msemaji wa klabu kweli?! Man U, Chelsea, Arsenal, Real Madrid, Barca zina wasemaji kweli?! Kitu gani cha ajabu anachofanya 'Msemaji wa Klubu' ambacho Kocha Mkuu wa Klubu hawezi kufanya?

Bongo michosho tu!
 
Manara hajawahi kuwa na akili toka nilivyosilia alipata kesi ya utapeli wa magari baadae ikajirudia kwenye utapeli wa perfumes za zeruzeru
 
Manara ni mti wa hovyo tu, Yanga waende ki profesheno, sio kuchukua wazururaji wa mitaani, hana elimu zaidi ya udalali wa nyumba na magari
 
Ni kweli kabisa hata juzi tu hapa wakati league inakaribia kwisha alisema yeye ndo alitoa wazo la yanga kupewa kombe mkoani kuja nalo dar nikajua kweli huyu jamaa anapenda sifa yupo tayari kufanya chochote kwa ajili ya pesa.
 
Cheo cha Msemaji wa Klabu nakisikia Bongo tu, hivi klabu kubwa za soka duniani, zenye mafanikio zina msemaji wa klabu kweli?! Man U, Chelsea, Arsenal, Real Madrid, Barca zina wasemaji kweli?! Kitu gani cha ajabu anachofanya 'Msemaji wa Klubu' ambacho Kocha Mkuu wa Klubu hawezi kufanya?

Bongo michosho tu!
Hata bongo hicho cheo hakipo ndo maana manara ni muhamasishaji na bumbuli ni afisa habari wa yanga sema zeru zeru kila kitu anataka yeye ndo aonekane front.
 
Cheo cha Msemaji wa Klabu nakisikia Bongo tu, hivi klabu kubwa za soka duniani, zenye mafanikio zina msemaji wa klabu kweli?! Man U, Chelsea, Arsenal, Real Madrid, Barca zina wasemaji kweli?! Kitu gani cha ajabu anachofanya 'Msemaji wa Klubu' ambacho Kocha Mkuu wa Klubu hawezi kufanya?

Bongo michosho tu!
Sio msemaji ni mhamasishaji,sijui anahamasisha nini huko,ujinga mtupu
 
Wakati Manara Yuko Simba tulidhani ni kawaida kumuona akig'ara Kwa umaarufu. Tulidhani alistahili kuwa hivyo kutokana na nafasi yake. Lakini uchunguzi umeleta mambo tofauti kabisa.

Katika kauli zake amekua akitamka vita ya umaarufu, na maranyingi amekua alisema anapigwa vita Kwa umaarufu wake. Kila akikosana na mtu anakimbilia kusena kuwa ni sababu ya umaarufu.

... Ukweli ni kwamba Manara ndiye anaweka vita na watu maarufu katika soka. Mfano: Antonio Nugaz, Bumbuli, Mo dewj, Shaffi Dauda, Jemedari nk.

Wapo watu walikuta Maarufu upande wa Yanga lakini Manara amewapoteza( AMEUA umaarufu wao) baada ya kuhamia Yanga. Mfano:

Mzee mpili, Jimmy Kindoki, Daud Yanga, Frank Yanga, Mzee wa Utopolo na wengine wengi.

Ilifikia hatua hao watu kualikwa redioni na television kwenye vipindi vya michezo. Tunajua wapo ambao walikuta wameanza kupata umaarufu na sio muda labda wangepata dili za ubalozi au matangazo. Lakini baada ya Manara kuingia Yanga, hao wote wamepotea.

Manara anapenda aonekane anafanya Kila kitu ma kupata Umaarufu yeye.
Jambo la kujiuliza, kwanini anavita na Kila mtu? Mpaka Mzee Karia eti anataka umaarufu wa Manara!? Mzee Karia Anataka followers?

Kwanini Manara hataki kushiriliana na wengine wanao unekana kuibuka pale alipo?

Tukubaliane, Manara AMEUA nyota za wengi
Anataka umaarufu Kama yule babra anavyotaka umaarufu na kuwafurusha wengine kwa chuki, ushauri huu ungeanzia kwa CEO wenu kwanza ndo ukaja kwa manara, jicho lililomuona manara litumike pia kumuona babra maana tabia zao wote zinaendana vinginevyo huu Uzi nitauona ni wa chuki na wivu kwa manara
 
Jamaa anajiona juu ya kila mtu. Yaani mpaka anajitwisha vyeo vya rais wa nchi, eti mpaka kumwagiza wazisi ambaye ni mteule wa rais! Pumbaf
 
Wakati Manara Yuko Simba tulidhani ni kawaida kumuona akig'ara Kwa umaarufu. Tulidhani alistahili kuwa hivyo kutokana na nafasi yake. Lakini uchunguzi umeleta mambo tofauti kabisa.

Katika kauli zake amekua akitamka vita ya umaarufu, na maranyingi amekua alisema anapigwa vita Kwa umaarufu wake. Kila akikosana na mtu anakimbilia kusena kuwa ni sababu ya umaarufu.

... Ukweli ni kwamba Manara ndiye anaweka vita na watu maarufu katika soka. Mfano: Antonio Nugaz, Bumbuli, Mo dewj, Shaffi Dauda, Jemedari nk.

Wapo watu walikuta Maarufu upande wa Yanga lakini Manara amewapoteza( AMEUA umaarufu wao) baada ya kuhamia Yanga. Mfano:

Mzee mpili, Jimmy Kindoki, Daud Yanga, Frank Yanga, Mzee wa Utopolo na wengine wengi.

Ilifikia hatua hao watu kualikwa redioni na television kwenye vipindi vya michezo. Tunajua wapo ambao walikuta wameanza kupata umaarufu na sio muda labda wangepata dili za ubalozi au matangazo. Lakini baada ya Manara kuingia Yanga, hao wote wamepotea.

Manara anapenda aonekane anafanya Kila kitu ma kupata Umaarufu yeye.
Jambo la kujiuliza, kwanini anavita na Kila mtu? Mpaka Mzee Karia eti anataka umaarufu wa Manara!? Mzee Karia Anataka followers?

Kwanini Manara hataki kushiriliana na wengine wanao unekana kuibuka pale alipo?

Tukubaliane, Manara AMEUA nyota za wengi
Kubaliana wewe na mbumbumbu wenzako. Mnajitahidi sana kumpa promo asiyostahili huyo Manara wenu.
 
Back
Top Bottom