πππDah watu mnaona kutoa millioni 10 ni rahisi tu kama kutoa maji ya kandoro,i hope wewe ungetoa millioni 50 mkuuAibu mbili zimejitokeza leo kwenye mchezo kati ya Yanga na Somalia.
Manara anamkatisha Rais wakati anaongea. Aibu sana.
Ueledi wa kazi hapo. Rais hakatishwi wakati anaongea. Labda asite na kuuliza jambo.
Aibu ya pili ni GSM kutoa millioni 10. GSM waandaaji mnatoa milioni 10? Aibu.
Tumekuelewa Zuhura YunusAibu mbili zimejitokeza leo kwenye mchezo kati ya Yanga na Somalia.
Manara anamkatisha Rais wakati anaongea. Aibu sana.
Ueledi wa kazi hapo. Rais hakatishwi wakati anaongea. Labda asite na kuuliza jambo.
Aibu ya pili ni GSM kutoa milioni 10. GSM waandaaji mnatoa milioni 10? Aibu.
Wangekuwa matapeli TFF wangewabembeleza?hiyo kumi kanyaboya unwajua hao jamaa wa Home shopping centre au huwajui? kmuulize bashite au Tff
Rais aliongea naye kama mlemavu wa ngoziMakolo yan manara kuongea na rais mmekasirika pia,imagine ile event ingeandaliwa na mikia hizo ambazo angepewa babra na chawa wake si za nchi hii!