Jana akihojiwa na kituo cha Azam live kutoka Namfua stadium,msemaji wa simba Haji manara amesema,", Siku ya jumanne ataongea mambo mazito dhidi ya Yanga na kuanzia Siku hiyo wanayanga hawatatumia mitandao ya kijamii
Njooni tubashiri,ni mambo gani hayo ambayo Manara ataongea mpaka aivuruge Yanga
Au tambo za mpira wa miguu,watani wa jadi
Ni kweli jumanne Yanga watasambaratika?
Aaache ujuha wake. Ana matatizo ya kichwa nini. Yeye na mtindio wake wa ubongo asituzingue. Yanga na Simba wametoka mbali utani wa jadi umeanza hata babaake hajazaliwa leo aisambaratishe Yanga kwa upuuzi waje. Acha hizo dogo.
Hajawazidi wanyamweziMswahili sana huyu jamaa
Bado hajazungumza mnaweweseka. Mtulie. Mlipenda kila siku muwe ninyi tu?Aaache ujuha wake. Ana matatizo ya kichwa nini. Yeye na mtindio wake wa ubongo asituzingue. Yanga na Simba wametoka mbali utani wa jadi umeanza hata babaake hajazaliwa leo aisambaratishe Yanga kwa upuuzi waje. Acha hizo dogo.
Tuliza kipago kijana. Bado hajaongeami nilijua ataongea mazito namna ya kuganya club yake sasa iwe inashinda na kubeba makombe ya kimataifa kumbe lengo kuwafanya yanga wasitmie mitandao?
jinga kabisa
Hahahahahaaa. Wana "fluctuation"!Ukitaka kujua frustration za mashabiki wa yanga njoo kwenye huu uzi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
hivi tokea yanga kupata vipigo msimu huu umeshaona mavuvuzela mtaani kwako maana hawa yanga ndi wapiga keleleJana akihojiwa na kituo cha Azam live kutoka Namfua stadium,msemaji wa simba Haji manara amesema,", Siku ya jumanne ataongea mambo mazito dhidi ya Yanga na kuanzia Siku hiyo wanayanga hawatatumia mitandao ya kijamii
Njooni tubashiri,ni mambo gani hayo ambayo Manara ataongea mpaka aivuruge Yanga
Au tambo za mpira wa miguu,watani wa jadi
Ni kweli jumanne Yanga watasambaratika?
Yanga ni wahuni tu. Wana midomo mipana hadi inakaribia kufika masikioni. Just imagine! Midomo bakuli.hivi tokea yanga kupata vipigo msimu huu umeshaona mavuvuzela mtaani kwako maana hawa yanga ndi wapiga kelele
Nasubiri "jeifoo" kama hautosoma namba za [HASHTAG]#manara[/HASHTAG]Wakumpuuza huyu