Manara:Siku ya Jumanne nitaongea mambo mazito,,Yanga hawatatumia mitandao ya kijamii

Manara:Siku ya Jumanne nitaongea mambo mazito,,Yanga hawatatumia mitandao ya kijamii

Yanga wameshaanza kuweweseka tayari humu JF.
 
Muombe samahani Manara huwezi kumlinganisha na yule mzee Pangu Pakavu

Manara na Mzee Akilimali hawana tafauti kwanza wote wazawa wa Kigoma pili hapo kwenye hivyo vilabu kazi yao ni kupiga kelele tu hakuna la maana wanalofanya tatu wote akili zao zinaonekana zilipata shida kidogo.

 
Ndio, kwa Nini wasiwe waswahili na treni iliyobeba kiswahili iliharibikia Tabora? Hebu niambie Nani anaongea kiswahili kizuri kama mnyamwezi? Nimekuelewa ila nadhani jibu hilo linakufaa [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hahahahahaaa! Nipo Bachu hapa. Karibu mkuu.
 
Manara ana kaushamba fulani hivi ila yeye anajiona mjanja! Tangu waingie madarakani ndio wameshinda ligi kwa mara ya kwanza yani tangu mzee Jiwe akiwa waziri wa uvuvi mpaka sasa yupo magogoni! Simba acheni ulimbukeni bhana kuwa bingwa ni jambo la kawaida
Sasa mnalialia nini? Vyura ninyi!
 
Hovyooooooo.

Mie nakosaga hata kundi la kumuweka. Hivyo tusitumie mitandao kisa pumba zake. Khaaaaa.
Mdomo ndio unaomuweka mjini,na ss hivi anazichota kweli kweli kwa hawa mbumbumbu wa huku mitaani,achagui hata akimkuta mkia muuza njugu atampiga kamba then mwisho lzm ampige kirungu [emoji2]
 
Jana akihojiwa na kituo cha Azam live kutoka Namfua stadium,msemaji wa simba Haji manara amesema,", Siku ya jumanne ataongea mambo mazito dhidi ya Yanga na kuanzia Siku hiyo wanayanga hawatatumia mitandao ya kijamii

Njooni tubashiri,ni mambo gani hayo ambayo Manara ataongea mpaka aivuruge Yanga
Au tambo za mpira wa miguu,watani wa jadi

Ni kweli jumanne Yanga watasambaratika?
Huyu mpumbavu tuu,bangi zinamsumbua
 
Manara na Mzee Akilimali hawana tafauti kwanza wote wazawa wa Kigoma pili hapo kwenye hivyo vilabu kazi yao ni kupiga kelele tu hakuna la maana wanalofanya tatu wote akili zao zinaonekana zilipata shida kidogo.

Duuuuuuu
 
Back
Top Bottom