Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Muombe samahani Manara huwezi kumlinganisha na yule mzee Pangu Pakavu
Hahahahahaaa! Nipo Bachu hapa. Karibu mkuu.Ndio, kwa Nini wasiwe waswahili na treni iliyobeba kiswahili iliharibikia Tabora? Hebu niambie Nani anaongea kiswahili kizuri kama mnyamwezi? Nimekuelewa ila nadhani jibu hilo linakufaa [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hahahahahaaa. Watu wa Yanga wajinga sana. Unaelewa maana ya flactuation ? Na vilevile hizo""unaelewa maana yake? Little fanta!Achana na kiingereza mkuu tumia kiswahili tu
Sasa mnalialia nini? Vyura ninyi!Manara ana kaushamba fulani hivi ila yeye anajiona mjanja! Tangu waingie madarakani ndio wameshinda ligi kwa mara ya kwanza yani tangu mzee Jiwe akiwa waziri wa uvuvi mpaka sasa yupo magogoni! Simba acheni ulimbukeni bhana kuwa bingwa ni jambo la kawaida
Mdomo ndio unaomuweka mjini,na ss hivi anazichota kweli kweli kwa hawa mbumbumbu wa huku mitaani,achagui hata akimkuta mkia muuza njugu atampiga kamba then mwisho lzm ampige kirungu [emoji2]Hovyooooooo.
Mie nakosaga hata kundi la kumuweka. Hivyo tusitumie mitandao kisa pumba zake. Khaaaaa.
Ndiyo maana ni litimu la kijinga. Hadi weye shabiki wake? Hopeless material!Manara mpuuzi sana
Hahahaaa. Hatari sana SwahibaMdomo ndio unaomuweka mjini,na ss hivi anazichota kweli kweli kwa hawa mbumbumbu wa huku mitaani,achagui hata akimkuta mkia muuza njugu atampiga kamba then mwisho lzm ampige kirungu [emoji2]
mkuu unajua kwanini kaweka hizo gunga na fungua semi??Achana na kiingereza mkuu tumia kiswahili tu
funga sio gunga, samahanimkuu unajua kwanini kaweka hizo gunga na fungua semi??
wewe na manara ni wapumbavu wakubwaNdiyo maana ni litimu la kijinga. Hadi weye shabiki wake? Hopeless material!
Huyu mpumbavu tuu,bangi zinamsumbuaJana akihojiwa na kituo cha Azam live kutoka Namfua stadium,msemaji wa simba Haji manara amesema,", Siku ya jumanne ataongea mambo mazito dhidi ya Yanga na kuanzia Siku hiyo wanayanga hawatatumia mitandao ya kijamii
Njooni tubashiri,ni mambo gani hayo ambayo Manara ataongea mpaka aivuruge Yanga
Au tambo za mpira wa miguu,watani wa jadi
Ni kweli jumanne Yanga watasambaratika?
Hahahahahaaa. Mtakoma safari hii.wewe na manara ni wapumbavu wakubwa
DuuuuuuuManara na Mzee Akilimali hawana tafauti kwanza wote wazawa wa Kigoma pili hapo kwenye hivyo vilabu kazi yao ni kupiga kelele tu hakuna la maana wanalofanya tatu wote akili zao zinaonekana zilipata shida kidogo.