Manara: Simba, mkataba wenu mmedanganywa

Simba itaendelea kumsumbua Sasa hivi hata pre season kabaki hapa, ameshindwa kuhoji mkataba wa jezi yanga ambao wanapata 1350 kila jezi anarukia mambo ya Simba
Vp we umeamini mkataba wa MAKOLO.....binafsi naona zimengezwa 000
 
Kwani yy ninani ktk taifa hili?( cheo chake) tuanzie hapo kwanza
Yeye huwa hapendi kudanganywa ( chupli chupli)....that's y mambo yetu Simba yakiwa ya uwazi huwa Hana shida
 
Manara ajui mambo mengi,aliwai kusema Yanga anaanzia round inayofuata caf alafu Simba itaanzia hatua ya awali na wafuasi wake wakashangilia[emoji125][emoji125][emoji125]
Lakni kwa hili .....naona yupo sahihi...... makolo...tumepigwa
 
Sasa yeye Manara kama Simba inapotezwa si ndio akae kimya akifurahia, vipi tena anaumia?.

Yaani unamuona mbaya wako anapotea njia unaanza kumshtua "ni huku huko unapotea".
Shida Ni kwamba .....hapendi mtani apate shida.........sio Kama msimu uliopita mlianza kulilia" fair competition"
 
Simba Sports Club (wanachama) wana hisa asilimia 51 sawa na 25 Bilioni.

Thamani ya Simba ni 20+25 = 45 Bilioni

..............
Mkuu unaamini kweli hisa za wanachama Ni 25 billion .......ikiwa mlishindwa hata kuchangia hata 80 million ujenz wa uwanja
 
kila kukicha ni yanga kuizungumzia simba, nilidhani baada ya kuchukua ubingwa mtatulia kidogo lkn bado hamjiamini mnahangaika kujilinganisha na timu iliyokosa ubingwa.
Hatutaki ndugu yetu kolo.....apotee baadae aanze kulalamikia fair competition
 
Mwamedi aliwapa Lin hzo 20b
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…