Manara: Simba, mkataba wenu mmedanganywa

Lkn mmezidisha namba hapo.......muda utaongea
 
Nenda kaombe bank statement ya simba ili roho yako isuuzike. Au unataka ipitie kwenye account yako ndio uamini mkuu.
Utopolo tumieni akili acheni wivu.
Mmepigwa mkuu[emoji23]
 
Simba Sports Club (wanachama) wana hisa asilimia 51 sawa na 25 Bilioni.

Thamani ya Simba ni 20+25 = 45 Bilioni

..............
Mkuu unaamini kweli hisa za wanachama Ni 25 billion .......ikiwa mlishindwa hata kuchangia hata 80 million ujenz wa uwanja

Kuna uwanja unajengwa kwa 80 mil??Kinye fc vp lkn?
 
Simba Sports Club (wanachama) wana hisa asilimia 51 sawa na 25 Bilioni.

Thamani ya Simba ni 20+25 = 45 Bilioni

..............
Mkuu unaamini kweli hisa za wanachama Ni 25 billion .......ikiwa mlishindwa hata kuchangia hata 80 million ujenz wa uwanja
Tatizo lako unakariri ukidhani thamani ya kitu ni pesa halisi zilizopo benki. Hiyo 25 Bilioni ni thamani katika tathmini au Goodwill ukipenda. Ukitaka kuuza hisa za Simba Sports Club (wanachama) thamani yake ni hiyo 25 bilioni kwa kipindi kile na inawezekana kwa sasa imepanda au kushuka. Ila tu kwa sababu ya mafanikio iliopitia Simba thamani itakuwa imepanda. Fikiria klabu inakuwa na mchezaji anauzwa Bilioni moja. Kwanini isiwe na thamani ya 50 bilioni
 
Maybe inaweza kuwa kweli
 

Kama kweli kaandika hivyo, kweli jamaa ni zero brain
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…