Manara: Simba watafagia uwanja wa mkapa Kwa ajili ya Yanga tarehe 4

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
“Tutasaidiana kusukuma miradi ya kampuni (Yanga), nitashiriki kwenye Wiki ya Wananchi najua Tarehe 3 kuna watu watakuwa wanafagia uwanja alafu tarehe 4 sisi tuna jambo la kitaifa hili sitakuwa na haya tutalifanya kwa nguvu sana.

“Nitashiriki kutambulisha wachezaji, Tarehe 4 nitakuwepo kuwatambulisha kina Chama, Pacome, Aziz, Dube na wengine tuombe uhai na majaliwa, nitashiriki kuanzia hamasa hadi tukio lenyewe,” Haji Manara.

[emoji1607] @bintiiringo
#WasafiSports
 
Huyu ban ya miaka miwili ilikua michache sana alitakiwa ale ban ya maika 10 akirudi kwenye game kashazeeka analea wajukuu, Naona kashanza kutukera na kejeli zake.
 
Mwenye Cheo chake karudi japo ni mnyama mwenzetu ila yeye ndiye aliyeupa usemaji heshima hapa nchini
 
Tusisahau pia Kunywa mapema na Vidonge vyetu vya VRA kwani hapa katikati tuliviacha na hali kuwa mbaya Masaki.
 
atakuwepo kama nani?? huyu mbwa mbona kama anataka kujiamulia mambo ya kilabu yeye mwenyewe??? yanga tusikubali huyu mbwa ametumwa kuja kutuvuruga tupoteane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…