agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,400
Ndala fc π π πββοΈKama hao ndala ni ukoo wako kiongozi wao baba yako
Acha uongo wewe. Uwanja haukujaaLeo ilikuwa siku ya Tamasha la Yanga kwenye uwanja wa Taifa. Ni ukweli usipingika, uwanja ulifurika watu hasa wapenzi wa Yanga. Kama ilivyokuwa ahadi ya H. Manara sasa tunamwomba aachie ngazi kama alivyoahidi. Pili kwa dhati kabisa ninampongeza Mwenyekiti Dkt. M. Msola na Uongozi mzima na benchi la ufundi kwa mshikamano mlio nao. Tunaona kama mambo mazuri yanakuja mbele. Niwapongeze pia wachezaji wa Yanga kwa mchezo mzuri na maridadi waliyouonyesha dhidi ya Kariobangi na hii inatudhihirishia kuwa ubingwa unarudi nyumbani kama ilivyo kawaida ya Klabu ya Yanga. YANGA MBELE DAIMA, NYUMA MWIKO.
Jifunzeni kuandika. Halafu rudi tena.Huna gubu kama motto wa kike
5000Kumbe kiingilio kilikua buku or nimesikia vibaya
Umenena vyemaaβπΎBinadamu bwana..mnatakiwa mumshukuru Manara..alichofanya ni kutumia mbinu ili mjae..na amefanikiwa! Unadhani Kama sio kelele zake mngejaa Leo?
Hayo huwa ni maneno ya Kishabiki,ambayo dhamira yake ni kukera,kuudhi na kudhalilisha adui yako.Ni rafu za kishabiki,hata uwanjaa ukijaa hadi ukapasuka hawezi hama,wala kuacha kazi.Haya maneno hujibiwa kwa kejeli zaidi na si kutuuliza humu kama ameacha kazi.Mkumbukeni Jerry Muro enzi hizo.MANARA watie adabu Yanga na Njaa yao.Mtu na akili zako unakaa kumsikiliza manara kweli
yule mropokaji yule au
yule wa barcelona wakifungwa anahamia yanga.
Huyo kubwa jinga tu.Huyu alisema liverpool wakiitoa Barcelona atahamia Yanga.
Hakuhamia ππππ
Pande zote zilijaa. Hiyo ndio shida ya kuangalia mpira kupitia tbc na channel ten. Pole.Upande wa mashariki haukujaa
Hayo huwa ni maneno ya Kishabiki,ambayo dhamira yake ni kukera,kuudhi na kudhalilisha adui yako.Ni rafu za kishabiki,hata uwanjaa ukijaa hadi ukapasuka hawezi hama,wala kuacha kazi.Haya maneno hujibiwa kwa kejeli zaidi na si kutuuliza humu kama ameacha kazi.Mkumbukeni Jerry Muro enzi hizo.MANARA watie adabu Yanga na Njaa yao.
Hii ilikuwa saa saba mchana, tafuta ya kuanzia saa tisa!!
Hata mimi nilitaka kusema hili, washukuru sana Vyura kwa kuhamasishwa kwa njia ya utani.Binadamu bwana..mnatakiwa mumshukuru Manara..alichofanya ni kutumia mbinu ili mjae..na amefanikiwa! Unadhani Kama sio kelele zake mngejaa Leo?
Hii picha imepigwa saa ngapi?Yaani mapengo yote haya bado unadai uwanja ulijaa? View attachment 1172286
Massage sent and delivered.Jifunzeni kuandika. Halafu rudi tena.
Kweli wewe kihiyo haswa.Massage sent????Kiswahili kinakushinda unavamia lugha za watu?Massage sent????Massage sent and delivered.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli wewe kihiyo haswa.Massage sent????Kiswahili kinakushinda unavamia lugha za watu?Massage sent????