Manara: Yanga yauza jezi mara tano zaidi ya klabu nyingine

Au kwa hasira mfanye awe mke wa pili[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]kwaiyo mto post umefikilia vzur ukakubaliana na ukooo wako upost uu ujinga[emoji1]Mtoa POSt unaonaje huu muda ULIOTUMIA kupost huu ujinga wako ungekua unasoma namna ya kutfta pesa kWA kutumia fursa zilizopo mtaan kwako badilika Acha ujinga soma usiwe mtu wa akili za 0.0 yaani zero Brain
 
Mjinga mmoja huyo
 
Kwa akili yangu ndogo natambua GSM na Yanga si familia ila ni entity 2 tofauti, moja ikitumia udhaifu wa mwenzie kujinufaisha.
Rudi darasani mkuu.........wewe ni empty kabisaaaa
 
Mtoa POSt unaonaje huu muda ULIOTUMIA kupost huu ujinga wako ungekua unasoma namna ya kutfta pesa kWA kutumia fursa zilizopo mtaan kwako badilika Acha ujinga soma usiwe mtu wa akili za 0.0 yaani zero Brain[emoji3578]
Umeshikwa ndipo
 
Utopolo ndy klabu inayoongoza kwa mashabiki wake kuvaa jezi kama nguo za kutokea mitaani.
Lazima wanunuwe kwa wingi.

Simba huvaa jezi kwenye mechi Tu na sio kuvaa kwenda nazo kazini.

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…