Manara yupo kibiashara Yanga

Manara yupo kibiashara Yanga

Kasomi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
11,030
Reaction score
20,391
Wana Bodi bila shaka mumeweza kulifahamu hili kuwa Haji Manara yupo kibiashara na wazito wa Yanga wanalifahamu hili.
Rejea hapa:"Mithali 28:11 [11]Mtu tajiri ana hekima machoni pake mwenyewe; Bali maskini mwenye ufahamu humchunguza sana."

Sasa acha Sisi masikini tumuchunguze sana. Bila kupoteza wakati Manara ni Balozi wa GSM Ambaye ndiye mzamini mkuu wa YANGA, hivyo hivyo Manara ni Balozi wa Azam Ambaye Azam ameingia mkataba na YANGA kwenye eneo la Maudhui.

Sasa je, manara ataweza vipi kuwatumikia hao pasipo kuingia YANGA, hivyo manara ameingia YANGA kwa ushawishi wa hao na kama ulifuatilia Press yake utayasikia maneno hayo. Hivyo Manara YANGA yupo kinafiki kwa ajiri ya kutekeleza Kazi take.

Hongera Manara kwa kupata pakuvuna mikwanja.

NB: Hawa watu hua wanatabia ya kurudi mfano mzuri ni Mwanasiasa fulani.

Mimi ni Balozi wako wa mtaa @KASOMI.
 
Hata mimi nilidhani ni uzushi kumbe kweli kaenda Yanga,sijui haya mambo ya msemaji ni ajira au usanii wa michezo!!!!???
 
Hata mimi nilidhani ni uzushi kumbe kweli kaenda Yanga,sijui haya mambo ya msemaji ni ajira au usanii wa michezo!!!!???
Kwa sasa biashara ndo kila kitu na kila sehemu, japo na usanii mwingi.
 
Msalith ana alama ila ana cheko kubwa
 
Viongozi wa Yanga wamekua ni mautopolo ya mwisho kabisa! Siyo kwa kejeli na matusi yale dhidi ya timu yetu!
Sasa kama watu wazito Yanga Haji ndo Balozi wao wengine unazani watafanya nini.
 
AcheNi uNgese alivotoka simba mlisema sababu ni kuwa na mapenzi na yanga. Kaenda yaNga mnachonga tena kwel bongi nyoso sema mungu hatomtupa
 
Acha Manara akapige pesa huko,usimba wake atabaki nao moyoni,siku Simba ikihitaji taarifa muhimu kutoka Yanga itazipata tu kupitia kwenye mlango wa mtoto wa mjini.
Kweli kabisa hapo ni njia ya kupata kitu kwa timu nyingine.
Yanga as a target na Manara as tool.
 
AcheNi uNgese alivotoka simba mlisema sababu ni kuwa na mapenzi na yanga. Kaenda yaNga mnachonga tena kwel bongi nyoso sema mungu hatomtupa
Sabubu tulilo sema limetimia(lisemwalo lipo kama halipo linakuja).
Pia hili nalo litakuja.
 
Hara Kama ltakuja kwanini ubashiri kuja baya na sio zuri.nkuulze hv mess kutok barca na kuuzwa PSG inamana PSG hawawez kumfukuza TNA?roho mbaya niga
 
Asilimia kubwa wanaoongelea hii ishu ya manara ni mashabiki wa simba, muacheni kijana atafute ugali wake. Mambo ya kua yanga kalamba galasa, manara sio muadilifu, sijui atatoa siri, kafata pesa, msaliti na mengine kede kede mnayojazana hayo watajua waajiri wake wapya. Alishalizana na nyie mtulie sasa, kazi iendelee.
 
Maisha ni popote na Mungu ndio mtoa riziki,


Hapa Duniani ukitaka kufanya jambo lako,basi isikilize nafsi yako inakuongozaje?
ukikaa kuogopa sijui eti watu watanionaje au watani ongeleaje basi hutoweza kufanya lolote maishani mwako,

Manara ametoa somo kubwa sana katika utafutaji wa maisha.
 
Hara Kama ltakuja kwanini ubashiri kuja baya na sio zuri.nkuulze hv mess kutok barca na kuuzwa PSG inamana PSG hawawez kumfukuza TNA?roho mbaya niga
"Over my dead body siwezi kuwa msemaji wa YANGA... Hata walete Hela zote za Benk siwezi kuwa msemaji wa YANGA"
~Haji manara
 
Asilimia kubwa wanaoongelea hii ishu ya manara ni mashabiki wa simba, muacheni kijana atafute ugali wake. Mambo ya kua yanga kalamba galasa, manara sio muadilifu, sijui atatoa siri, kafata pesa, msaliti na mengine kede kede mnayojazana hayo watajua waajiri wake wapya. Alishalizana na nyie mtulie sasa, kazi iendelee.
Kweli aisee kazi iendelee
 
Back
Top Bottom