Usimjadili Manara humu tujadili nini kwenye michezo?Kapimwe IQKuleta mjadala kuhusu kauli za Manara ni kuivunjia heshima JF na kuifanya JF kijiwe cha wajinga
Usimjadili Manara humu tujadili nini kwenye michezo?Kapimwe IQKuleta mjadala kuhusu kauli za Manara ni kuivunjia heshima JF na kuifanya JF kijiwe cha wajinga
Manara huyu aliyetuita sisi Yanga nihamnazo ndo tujadili mambo yake kweli mkuu? Mbona tutaonekana ni hamnazo kweli kama alivyotuita?Usimjadili Manara humu tujadili nini kwenye michezo?Kapimwe IQ
Lkn leo kawasema MAKOLOManara huyu aliyetuita sisi Yanga kwamba ni hamnazo ? Kwamba huku Yanga wenye akili ni baba yake yaani Sunday Manara na Kikwete tu? Au kuna Manara mwingine?
Kama ni kweli ndo kasema hivyo halafu sisi tunamshabikia basi ni kweli sisi ni hamnazo kweli.
Kupoteza muda kujadili mropokaji anayetafuta kuaminiwa na Wana Yanga kwamba hakuwahi kuwa shabiki wa simba ni kupoteza muda mkuu.Lkn leo kawasema MAKOLO
Kwa akili zako hizo low level haishangazi kusema hivyo!Usimjadili Manara humu tujadili nini kwenye michezo?Kapimwe IQ
Mkuu bora uwaambie hao watu. Na kama mpiga vichwa ni shabiki wa Yanga basi tunakuongeza kwenye list ya wenye akili Yanga hivyo wenzako ni Sunday na Kikwete kama alivyosema Manara.Manara huyu aliyetuita sisi Yanga kwamba ni hamnazo ? Kwamba huku Yanga wenye akili ni baba yake yaani Sunday Manara na Kikwete tu? Au kuna Manara mwingine?
Kama ni kweli ndo kasema hivyo halafu sisi tunamshabikia basi ni kweli sisi ni hamnazo kweli.
Kwa hiyo unakubaliana naye kuwa wenye akili huko ni Baba yake na Kikwete pekee?Lkn leo kawasema MAKOLO