Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Manara: Ninazo taarifa za uhakika kabisa zinadai kuwa zinadine Zidane asikitishwa na kitendo cha Simba kumpa barua ya mchongo kocha Pablo kilichofanywa na uongozi wa makolo hususani kumpa barua isiyoonyesha tarakimu za malipo yake
Akiongea na kituo cha television huko Burma, Zidane ambaye aliwahifanya kazi na Pablo pale real Madrid, amesema kocha huyo no mzuri mno angeweza kuwafikisha mbali kisoka
Source: manara
Akiongea na kituo cha television huko Burma, Zidane ambaye aliwahifanya kazi na Pablo pale real Madrid, amesema kocha huyo no mzuri mno angeweza kuwafikisha mbali kisoka
Source: manara