Manchester City hana mpinzani EPL

Manchester City hana mpinzani EPL

Kuna hatari ya Man city kuchukua mara 10 mfululizo maana makocha wengi ni vilaza tu kwa pep angalau Klop huwa anamsumbua Gurdiola. Mpinzani angalau ni liverpool ya Klop na yenyewe ikitetereka basi ni mserereko tu kwa Pep maana hizi timu zingine makocha wake ni underdog kwa Pep.
Sure 1000%moto [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] ni uleule
 
Back
Top Bottom