Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Sio city, pep hana wakumfanya akose ndoo ya epl
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaangaliaga Mpira wa Miguu kweli ? Au unamaanisha City ya mpira wa PeteCity BADO hajamishawishi japo anashinda mechi!!
Uwezoe wake BADO sana!!
Pep Guardiola anajuaSio city, pep hana wakumfanya akose ndoo ya epl
MwambieUnaangaliaga Mpira wa Miguu kweli ? Au unamaanisha City ya mpira wa Pete
Sio kidogo anajua sana huyu mwamba mpe kibunda cha kusajili tu hutojutiaPep Guardiola anajua
Tumupe tu[emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji966][emoji966][emoji966][emoji966][emoji954][emoji954][emoji954][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471]Hana mpinzani na achukue tu
Kweli 100%Sio kidogo anajua sana huyu mwamba mpe kibunda cha kusajili tu hutojutia
Huyo kocha mpe ata brighton na kibunda atleast 400m USD alafu tulia uone balaa lake.Kweli 100%
Ameziilisha kwa man CityHuyo kocha mpe ata brighton na kibunda atleast 400m USD alafu tulia uone balaa lake.
HakikaAmeziilisha kwa man City
Man City kaitoa mbali na kaifikisha mbaliHakika
Yaani machovu hakuna mfano 😄Haya matimi yaliyopanda epl hovyo kabisa ni kujipigia tu.
Wanazingua sanaYaani machovu hakuna mfano [emoji1]
Hakuna suprise kabisa ujio wa mwaka huu woote wachovuWanazingua sana
DWWWWW Anajitafuta? [emoji16] Kua serious Mzee.. ana point 16 city 18Liverpool bado sana wanajitafuta
Wasipo kaza watashukaHakuna suprise kabisa ujio wa mwaka huu woote wachovu
Ndio mkuu mpira wake hauko stableDWWWWW Anajitafuta? [emoji16] Kua serious Mzee.. ana point 16 city 18
YeahCity anaifukuzia rekodi ya invicible