Manchester United ndiyo umefanya watanzanIa waache kuangalia ligi ya Uingereza

Manchester United ndiyo umefanya watanzanIa waache kuangalia ligi ya Uingereza

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Kuanza kuonekana Kwa ligi ya Uingereza hapa nchini kulikuja wakati Manchester United ikiwa kwenye kilele Cha mafanikio.

Enzi za kina Dwight Yorke na mwenzake Andy Cole mpaka zama za kina David Beckham, ligi ya Uingereza ilikuwa na mashabiki wengi sana Tanzania.

Lakini baada ya kuondoka Kwa Sir. Alex Ferguson, na Manchester United kugeuka kichwa Cha mwendawazimu, ligi hiyo imepoteza mashabiki hapa Bongo.

Mashabiki wa Man U walikuwa wanawacheka.mashabiki wa Arsenal kwa kuwa wavumilivu timu yao kutokuchukua Kombe lolote kwa muda mrefu.

Sasa imethibitika pasi. na shaka kumbe mashabiki wa Man U hapa bongo hawana uvumilivu. Siku hizi zile tambo zao na kufurika kwenye vibandaumiza, hakuonekani tena.
 
Wakulaumiwa duniani kote ni huyo Babu Alex Ferguson, wakati anastaafu aliachaje timu ?

Wachezaji migui ilishakataa na umri ulikuwa umeshasogea. Angalia Mashabiki wa Liverpool tunavyo enjoy Klopp kaondoka na kuiacha timu na kikosi imara. Naashabiki tuna enjoy bila hata usajili zaidi ya Fede Chiesa.

Lawama zote wa kutupiwa ni Ferguson na sidhani kama Manchester United inazidi kupokea Members wapya kwa matokeo inayoyapata sasa hivi.
 
na sidhani kama Manchester United inazidi kupokea Members wapya kwa matokeo inayoyapata sasa hivi.
Umesema vyema

Kuna kipindi mashabiki wa Liverpool walikuwa watu wazima tu ulikuwa hukuti madogo wakishabikia Liverpool kwa sababu kwa miaka mingi haikufanya vizuri ikashindwa kutengeneza fans wachanga wapya katika fan base yake ndicho kinaipata Man U kwa sasa
 
Umesema vyema

Kuna kipindi mashabiki wa Liverpool walikuwa watu wazima tu ulikuwa hukuti madogo wakishabikia Liverpool kwa sababu kwa miaka mingi haikufanya vizuri ikashindwa kutengeneza fans wachanga wapya katika fanabase yake ndicho kinaipata Man U kwa sasa
In its home country, Liverpool boast a fanbase of 65 million.
This broad appeal extends to a diverse range of supporters, encompassing those who have grown up supporting the team in Liverpool itself, as well as fans from other parts of the UK, such as Wales and Scotland, who share strong historical ties with the club and significantly contribute to the fanbase.

In Africa, the fan base grew exponentially due to the presence of star players Salah and Mane. Salah’s home country, Egypt alone, has over 10 million Liverpool supporters. The club once quoted on their website, “When Mo Salah plays for Liverpool, the entire country stops to watch.” Other African countries, notably Nigeria and Ghana, provide many fans.

The US has also witnessed a surge in Liverpool Fans, with several thousand proudly sporting the Red shirt at viewing centres on match day. Notably, Liverpool FC’s growing popularity in the United States played a role in the club’s decision to stage a game in front of more than a hundred thousand people in Michigan. Some of them are enthusiasts of free slots, no download, no registration (FSND), a renowned online casino review site known for providing valuable insights and recommendations to those seeking top-notch experiences.

Supporters in Germany have grown since the appointment of former Borussia Dortmund manager Jurgen Klopp. Close to half a million Liverpool FC supporters are present in Germany. In Central America, especially Uruguay, Liverpool fans take centre stage as many have started to support the club because of their players.

In Asia, countries like South Korea have begun to show interest in English football in recent years. Invariably, Liverpool already made it there, with several Official Supporter’s clubs and viewing centres. Maldives is also an Asian country with strong Liverpool support due to one of its presidents, Maumoon Abdul Gayoom, who was an ardent Red and influenced many of the country’s citizens.
 
Hakuna timu napenda ipitie mateso kama mwanitesa united, huwa wanajiamini kwenye hamna.

Ni wazi ni muda sasa hawana kikosi cha kuweza kuonesha ushindani kwa muda mrefu. Kulingana na uwekezaji wa vilabu vingine vikubwa EPL kama man city, liverpool, arsenal, chelsea ni ngumu sana kufanya vizuri na kama hawatobadilika watazidi kufanya vibaya kila msimu.
 
UTD ni nembo ya soka la uingereza, popote pale ulipokuwa ukitaja mifano ya timu miaka ya kuanzia 2000 lazima UTD, Madrid nk uzitaje. Balaa lilianza pale mabwenyenye yalikuwa hayajui yanataka Nini, badala ya kufanya UTD iwe taasisi imara wao zigo kubwa aliachiwa Sir Alex Ferguson, alivyoondoka na Kila kitu kiliharibika, Hadi Sasa ni kujitafuta kama wana wa Israel walipokuwa jangwani walikuwa wanajitafuta miaka kibao wanazurura tu.
 
Tatizo yule mzee alikuwa na mbinu nyingi nje ya uwanja ndio maana watangulizi wake wanapata tabu.
 
Back
Top Bottom