Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Man u walitakiwa kutulia na van gaal,wasingepitia yote hayaTatizo yule mzee alikuwa na mbinu nyingi nje ya uwanja ndio maana watangulizi wake wanapata tabu.
Nini kimewakumba Man U. Maana Hali Yao mbaya kuliko Arsenal.Bila arsene wenger kwenda epl,epl isingekua vile,ile rivalry ya wenger na ferguson ilikua na afya sana kwa epl
Kuisajili timu soko la hisa marekani,kiasi kwamba kunakua na presha ya matokeoNini kimewakumba Man U. Maana Hali Yao mbaya kuliko Arsenal.
Si kweli wewe ndio huangalii vijana wa zama hizi wengi ni wapenzi wa filamu na mapenzi sio watu wa ball!Kuanza kuonekana Kwa ligi ya Uingereza hapa nchini kulikuja wakati Manchester United ikiwa kwenye kilele Cha mafanikio.
Enzi za kina Dwight Yorke na mwenzake Andy Cole mpaka zama za kina David Beckham, ligi ya Uingereza ilikuwa na mashabiki wengi sana Tanzania.
Lakini baada ya kuondoka Kwa Sir. Alex Ferguson, na Manchester United kugeuka kichwa Cha mwendawazimu, ligi hiyo imepoteza mashabiki hapa Bongo.
Mashabiki wa Man U walikuwa wanawacheka.mashabiki wa Arsenal kwa kuwa wavumilivu timu yao kutokuchukua Kombe lolote kwa muda mrefu.
Sasa imethibitika pasi. na shaka kumbe mashabiki wa Man U hapa bongo hawana uvumilivu. Siku hizi zile tambo zao na kufurika kwenye vibandaumiza, hakuonekani tena.
Nilikuwa shabiki wa man miaka ya 2000 Liverpool ni wazee watu qazima pale ilala.Umesema vyema
Kuna kipindi mashabiki wa Liverpool walikuwa watu wazima tu ulikuwa hukuti madogo wakishabikia Liverpool kwa sababu kwa miaka mingi haikufanya vizuri ikashindwa kutengeneza fans wachanga wapya katika fan base yake ndicho kinaipata Man U kwa sasa
Nilikuwa shabiki wa man miaka ya 2000 Liverpool ni wazee watu qazima pale ilala.
Banda lako kama hutaonyesha man u hupati wateja