Hili ni lijinga. Kumbe mishabiki mijinga Kama hii bado ipoπ¬Mtamkumbuka kipara mazwazwa nyie.
Zile 8 za kipindi kile bado zinakuumaPunda wewe
Nyumbu ni Nyumbu tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Subiri kikishawaramba tunawaomba msilikimbie jukwaa lenu, leo ni siku yetu ya kupunguza gape la points3 dhidi ya Arsenyau.
Duh.Zile 8 za kipindi kile bado zinakuuma
Nisaidienì kwa nini ikawa kipa hakai sawa, na wachezaji wa man utd hawana habari na wale wanaojitenga mbele ya kona??When Arsenal get a corner, it is almost like a penalty
Nisamehewe mganga, lamri imeenda sivyo.Punda wewe
Kufungwa na timu iliyokuzidi najua haiwaumiAya mmeshashinda ubingwa wenu wa kumfunga Manchester
Tukutane FA hatuwezi fungwa mara mbili
ππ tukutane FAKufungwa na timu iliyokuzidi najua haiwaumi
Tunawatoa FA hilo nina uhakika naloMuhindi alipowapa odds 10+ mlimuona mjinga au sio
Kwakua Hakika Ruben atataka kuwarudishia imani mashabiki kwakua leo anaweza akajikuta anarudi nafasi ya 13 anaweza akafunga full mkoko FA.ππ tukutane FA