Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Kuna chemistry hapo haijaeleweka kwa wapinzani wetuNisaidienì kwa nini ikawa kipa hakai sawa, na wachezaji wa man utd hawana habari na wale wanaojitenga mbele ya kona??
Tunakobonda vzr tu, wewe had kwenye mabonanza nimekupiga mwaka huuTunawatoa FA hilo nina uhakika nalo
Tuna game na Bournemouth wataalamu wa mipira ya kutenga nadhani watatupa somo zuri namna ya kuzuia mipira hii😃😃😃
Tupeni mudaKwakua Hakika Ruben atataka kuwarudishia imani mashabiki kwakua leo anaweza akajikuta anarudi nafasi ya 13 anaweza akafunga full mkoko FA.
Ila haitazuia kipigo chenu
Key player maghales😃🤣😃😃acha utani kakaTunakobonda vzr tu, wewe had kwenye mabonanza nimekupiga mwaka huu
Kule Carabao nakusubiria pia
Bado huna timu ya kuifunga arsenal
Kama ndani ya dk 94 umepata Kona 0, touches 6 tu Tena touch ya kwanza imekuja dk ya 43,
Hapo nilikosa key players
Kwahiyo kobe mauno na huyo mcheza wrestling ndo key players kwenuKey player maghales😃🤣😃😃acha utani kaka
Sisi ambao tulimkosa kobbie na Martinez tusemaje
Mkiendelea na hii mentality yenu sahauni ubingwa..Kwahiyo kobe mauno na huyo mcheza wrestling ndo key players kwenu
Unamdharau manholes mwenye magnolia kadhaa hadi sasa aliyemzidi hadi foden
Hebu kuwa serious kidogo. Kobe mauno na huyo martini wenu ndo key player hadi tumewafunga?Mkiendelea na hii mentality yenu sahauni ubingwa..
Kwa hiyo magalesi ndo key player kwenu???Hebu kuwa serious kidogo. Kobe mauno na huyo martini wenu ndo key player hadi tumewafunga?
Arsenal ishaipiga United huku Kobbie yupo. Angekuepo jana angefanya niniKey player maghales😃🤣😃😃acha utani kaka
Sisi ambao tulimkosa kobbie na Martinez tusemaje
Kila mechi ina namna ya ku approach....jana presha ilikuwa kwa arsenal zaidi kuliko Manunu....kwasababu kama uki draw au kufungwa... Liverpool anqongeza gape....so it was more of professional approach...angalia udhaifu wa mpinzqni utumie...hakikisha huruhusu goli...mechi ya FA mkija na approach kama ya jana yatqjirudiq tu yaleyale....mkija kushqmbuliq maana yake tutapishana.....Sasa hapo kwny kupishana kawaulizeni Sporting Lisbon na west ham nn kilitokeq🤠🤠🤠....jengeni timu majirani manenomaneno hayasaidiiMkiendelea na hii mentality yenu sahauni ubingwa..
Hii ratiba ikiisha Ruben lile koti kubwa lazima atakuwa kashaacha kuvaa.
Kwa mentality yenu mnaamini gemu ya jana key player magalesi alikosekana mlitaka kutupiga mkonoArsenal ishaipiga United huku Kobbie yupo. Angekuepo jana angefanya nini
Chukuen ubingwa mpira wa phases hauwasaidiii kitu 😃😃😃Kila mechi ina namna ya ku approach....jana presha ilikuwa kwa arsenal zaidi kuliko Manunu....kwasababu kama uki draw au kufungwa... Liverpool anqongeza gape....so it was more of professional approach...angalia udhaifu wa mpinzqni utumie...hakikisha huruhusu goli...mechi ya FA mkija na approach kama ya jana yatqjirudiq tu yaleyale....mkija kushqmbuliq maana yake tutapishana.....Sasa hapo kwny kupishana kawaulizeni Sporting Lisbon na west ham nn kilitokeq🤠🤠🤠....jengeni timu majirani manenomaneno hayasaidii
Acha nikuache hivohivoKwa hiyo magalesi ndo key player kwenu???
Unagombania ubingwa kwa kupata alama tatu....na bdo mnazo nyingine unazihitaji majirani....tutazifata OT🤠🤠🤠Chukuen ubingwa mpira wa phases hauwasaidiii kitu 😃😃😃
Jana hakyanani big Gabi angekuwepo nilikuwa naona magoli manne ya Kona🤣🤣🤣Acha nikuache hivohivo
Yule mwamba kona kwake anaiona kama tuta..Jana hakyanani big Gabi angekuwepo nilikuwa naona magoli manne ya Kona🤣🤣🤣