Kwakua Hakika Ruben atataka kuwarudishia imani mashabiki kwakua leo anaweza akajikuta anarudi nafasi ya 13 anaweza akafunga full mkoko FA.

Ila haitazuia kipigo chenu
Tupeni muda
 
Key player maghales😃🤣😃😃acha utani kaka

Sisi ambao tulimkosa kobbie na Martinez tusemaje
 
Key player maghales😃🤣😃😃acha utani kaka

Sisi ambao tulimkosa kobbie na Martinez tusemaje
Kwahiyo kobe mauno na huyo mcheza wrestling ndo key players kwenu
Unamdharau maghales mwenye magnolia kadhaa hadi sasa aliyemzidi hadi foden
 
Nawakukumbusha mdomo uliponza kichwa mwisho wa msimu tutakuwepo hapa kufunga hesabu😃😃😃
 
Mkiendelea na hii mentality yenu sahauni ubingwa..
Kila mechi ina namna ya ku approach....jana presha ilikuwa kwa arsenal zaidi kuliko Manunu....kwasababu kama uki draw au kufungwa... Liverpool anqongeza gape....so it was more of professional approach...angalia udhaifu wa mpinzqni utumie...hakikisha huruhusu goli...mechi ya FA mkija na approach kama ya jana yatqjirudiq tu yaleyale....mkija kushqmbuliq maana yake tutapishana.....Sasa hapo kwny kupishana kawaulizeni Sporting Lisbon na west ham nn kilitokeq🤠🤠🤠....jengeni timu majirani manenomaneno hayasaidii
 
Arsenal ishaipiga United huku Kobbie yupo. Angekuepo jana angefanya nini
Kwa mentality yenu mnaamini gemu ya jana key player magalesi alikosekana mlitaka kutupiga mkono


Sahauni ubingwa wazeee msijpe presha hamna kila kitu cha kuwafanya mshinde EPL
 
Chukuen ubingwa mpira wa phases hauwasaidiii kitu 😃😃😃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…