Manchester United (Red Devils) | Special Thread
Tunakobonda vzr tu, wewe had kwenye mabonanza nimekupiga mwaka huu

Kule Carabao nakusubiria pia

Bado huna timu ya kuifunga arsenal

Kama ndani ya dk 94 umepata Kona 0, touches 6 tu Tena touch ya kwanza imekuja dk ya 43,

Hapo nilikosa key players
Key player maghales😃🤣😃😃acha utani kaka

Sisi ambao tulimkosa kobbie na Martinez tusemaje
 
Key player maghales😃🤣😃😃acha utani kaka

Sisi ambao tulimkosa kobbie na Martinez tusemaje
Kwahiyo kobe mauno na huyo mcheza wrestling ndo key players kwenu
Unamdharau maghales mwenye magnolia kadhaa hadi sasa aliyemzidi hadi foden
 
Nawakukumbusha mdomo uliponza kichwa mwisho wa msimu tutakuwepo hapa kufunga hesabu😃😃😃
 
Mkiendelea na hii mentality yenu sahauni ubingwa..
Kila mechi ina namna ya ku approach....jana presha ilikuwa kwa arsenal zaidi kuliko Manunu....kwasababu kama uki draw au kufungwa... Liverpool anqongeza gape....so it was more of professional approach...angalia udhaifu wa mpinzqni utumie...hakikisha huruhusu goli...mechi ya FA mkija na approach kama ya jana yatqjirudiq tu yaleyale....mkija kushqmbuliq maana yake tutapishana.....Sasa hapo kwny kupishana kawaulizeni Sporting Lisbon na west ham nn kilitokeq🤠🤠🤠....jengeni timu majirani manenomaneno hayasaidii
 
1733384046706.png
 
Arsenal ishaipiga United huku Kobbie yupo. Angekuepo jana angefanya nini
Kwa mentality yenu mnaamini gemu ya jana key player magalesi alikosekana mlitaka kutupiga mkono


Sahauni ubingwa wazeee msijpe presha hamna kila kitu cha kuwafanya mshinde EPL
 
Kila mechi ina namna ya ku approach....jana presha ilikuwa kwa arsenal zaidi kuliko Manunu....kwasababu kama uki draw au kufungwa... Liverpool anqongeza gape....so it was more of professional approach...angalia udhaifu wa mpinzqni utumie...hakikisha huruhusu goli...mechi ya FA mkija na approach kama ya jana yatqjirudiq tu yaleyale....mkija kushqmbuliq maana yake tutapishana.....Sasa hapo kwny kupishana kawaulizeni Sporting Lisbon na west ham nn kilitokeq🤠🤠🤠....jengeni timu majirani manenomaneno hayasaidii
Chukuen ubingwa mpira wa phases hauwasaidiii kitu 😃😃😃
 
Back
Top Bottom