Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Rashford na garnacho zile ni talent asiache ziende kizembe,atafute mfumo wa kuwafitMkuu naona kocha kashaliona tatizo na tatizo nalo linataka kuondoka, Itakuwa vyema kwa klabu yetu endapo litaondoka kweli.
Mkuu naona kocha kashaliona tatizo na tatizo nalo linataka kuondoka, Itakuwa vyema kwa klabu yetu endapo litaondoka kweli.
Mtani upo? Utabiri wako uenda ukatimia aisee! Ama?Man U haji kuwa bingwa wa EPL labda miaka 10 toka sasa!
Mkuu naona kocha kashaliona tatizo na tatizo nalo linataka kuondoka, Itakuwa vyema kwa klabu yetu endapo litaondoka kweli.
Kuna kasumba ya kushikilia english players hata kama wana underperform. Rushford ameshaingia huko, huyu si mtoto tena ni wa kumuacha aendeKocha kaongea ukweli, Rashy anashida na anaigharimu team kiujumla.
Leo wamemuanzisha kipa wamemtoa kwa wale waigizaji waturuki kina ertugul bay😂Tafuteni kipa wa kueleweka.
Tulia hapa hapa ngiri pori mr KasongoBRUNO leo ni utopolo mtupu..atolewe mapema.