Cash Money Forever
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 944
- 1,682
Hapo watatoa milio yote[emoji28]Hapa lazima Waite maji mma
Unajipigia tuu 🤣🤣Hiki ni kikundi cha ngoma
Pray for nyumbuView attachment 3182756
Newcastle,,Fulham🔥🔥🔥🔥 utawakaPray for nyumbuView attachment 3182756
Kama togwa la ngomani vile.. Kila anaejisikia kiu anadibua tu.Unamaanisha ukitaka kujipigia
Unajipigia tuu 🤣🤣
Wana mdomo sana hawa NYUMBUKama togwa la ngomani vile.. Kila anaejisikia kiu anadibua tu.
Sasa unadhani kuna demu MWAJUMA NIPE akawa hana mdomo.😂Wana mdomo sana hawa NYUMBU
Kunguru wa madoadoa wewe. Liverpool ndio team bora duniani mbusiii weweUsijali mkuu watabadilika hata Chelsea ilikuwa hivi hivi hahaha.
Kina Saint Anne na uumbwaaa Chaliifrancisco yatabaki kulia balaa.
Nyau de adriz
Unadunda tu unyumbuni ardhi ya MolaUsijali mkuu watabadilika hata Chelsea ilikuwa hivi hivi hahaha.
Kina Saint Anne na uumbwaaa Chaliifrancisco yatabaki kulia balaa.
Nyau de adriz
Teh teh teh tehWala sihuzuniki kabisa, Bora unaona makapi ni yapi na vipi unaweza kuyaondoa. Haya ni mchanganyiko wa mazao ya recruitment mbovu, maamuzi mabovu (Kwa baadhi ya wachezaji), kocha anajaribu kutoa muda Kwa wachezaji wote Ili basi Kila mmoja aoneshe alichonacho.
Nusu ya magoli tuliyofungwa ni ya set pieces, mengi ya haya magoli ni wachezaji wenyewe kushindwa kufanya marking, awareness ya mchezaji binafsi mfano goli la Leo si suala la kocha kukufundisha ni mchezaji mwenyewe tu ameshindwa kujitambua afanye Nini, ni kama mtu mzima kufundishwa kuchamba kitu ambacho anatakiwa awe anajua automatically.
Mafuta na maji yataanza kujitenga, nilishasema Kuna wachezaji utaona wanaanza kujitoa taratibu, performance zao utaona zitaanza kukukera na hapo ndipo utaona uhitaji wa wachezaji "PUNDA" wenye akili na si wapaka poda.
Nasemaje Bora tufungwe lakini at least tuone kocha anajaribu kuanza kutafuta kitu gani. Sisi si timu ya kuwa na kocha zaidi ya misimu mitano kama timu Fulani halafu tuishiwe kusifiwa tu pira mchuzi sijui Haram football, hivyo wachezaji lazima watambue hili.
UumbwaaaKunguru wa madoadoa wewe. Liverpool ndio team bora duniani mbusiii wewe
We kenge nicheki basi nikupe mchongo flaniUumbwaaa