🤣🤣🤣🤣Leo ushindi nje nje. Hii ndio 1st eleven ya ukweli. GARNACHO ni mzuri sana lakini ukimuanzishia benchi na yeye anakufanyia uhuni, hapambani.
Una ujinga sana 🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Masingeli a.k.a Kasongo kule akitia tu shingo watu wanaondoka na kichwa yake.
Kule Kuna wananchi wenye hasira kali wamebeba masime, shoka, mundu na mabaleshi wanamsubiria kwa hamu sana, yeye mwenyewe analitambua hilo ndio maana kule hakanyagi hata apewe ulinzi wa efefyu fuso mbili.
KWa goli la kwanza au la pili?Tafuteni kipa wa kueleweka. Naendelea kuwa sisitiza
Kwamba united inafungwa kisa utabiri wa alipipi mkuu🤣?Kuna watu hawana bahati duniani.
Mfano Pele, alikua akisema timu Fulani inashinda basi ujue inapigwa.
Akisema Timu hii inachukua kombe basi hata makundi haivuki.
Hii bahati mbaya ndiyo anayo alipipi. Mzuieni asiendelee kutabiri matokeo in favour ya united, bora atabiri mnafungwa ili awe kafanya kinyume
Amini nakuambiaKwamba united inafungwa kisa utabiri wa alipipi mkuu🤣?