ETH muhuni sana yule jamaa🤣🤣
 
Antony masebene €100 badala ya €25
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wewe nawe funga bakuli lako, nyinyi mlishapiga £60m zenu kwa Freemason Mount, Masingeli povu linamtoka kwa kuona kwenye huu ufisadi unaoendelea Arsenyau hawajalamba hata mia mbovu.
Hapana ujue nini kwenye maisha najifunza vingi sana ,ETH alijua kucheza na fursa na aliaminika sana

Mwamba alikuwa mjanja sana ,kwenye FA na Carabao anaweka mziki mnene ,mwisho wa msimu wakimuhoji anawaonesha Carabao

Ndio maana interview zake nilikuwa sikosi ,lazima asema

WE WON TROPHIES

Walipoanza kumbana sana akasema akitoka Pep hakuna kama Yeye

🤣🤣🤣
 
Man city a.k.a Bumbuwazi Fc na Mjinga mwenzao Man utd watapishana tu mwaka mmoja kushuka daraja,

Man utd atatangulia alafu mkewe Bumbuwazi Fc atafuata...Na hapo ndipo Mfanyabiashara nguli mzee bakhrese ataanza kuangalia namna gani ya kupata haki miliki za kuonyesha Championship.
 
ETH muhuni sana yule jamaa[emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji23] Mambo yamebadilika siku hizi ulimwengu wote unaendeshwa kwa mifumo ya kibepari, mambo ya ujamaa na kujitegemea yalimalizikia kwenye Azimio la Arusha.
Sasa hivi ukipata nafasi unajimegea zako fungu la 10 mapemaaaa halafu mambo mengine yanaendelea.
 
Nawaambiaje mkishuka daraja msitegemee Makocha wa maana watatuma maombi ya kuifundisha Man utd, yani hapo makocha kutokea India, Uturuki, Colombia, na Chile ndo watajipanga Kwenye korido za Man utd kuomba kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…