ETH muhuni sana yule jamaa🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ETH ni kizazi cha kina Endruuu Chernge A.k.a Joka la Makengeza.
Watoto wa mjini hawa hua hawalali njaa, pamoja na ufisadi wote ila mwisho wa msimu zikipigwa hesabu Utd ndio inakua namba moja Epl kwa maokoto, hivyo kuliko pesa yote ya faida kuchukua watoto wa marehemu Gilaza na huyo tajiri mwembamba bora na hawa watoto wa mjini wajimegee tu kabisa fungu la 10
Masingeli hizi pesa zinavyokuuma utafikiri zimechomolewa kwenye mfuko wako wa suruali.
Antony masebene €100 badala ya €25Manjesta ishageuka Shamba la bibi
ETH ana akili sana ,nadhani atakuwa na utajiri mkubwa sana
Alifungua kampuni la kitapeli linaitwa SEG akawa msimamizi ni mwanae ,
Wamepiga ,10% za kutosha
Hojlund kanunuliwa *€85m badala ya €35m
Anthony Santos makudubela kanunuliwa €100m badala ya €25m
Mount €60m badala ya €35m
Zaka za kazi Joshua mutale €40m badala ya €20m
List ni ndefu sana
Amourine asijifanye hii timu ya baba yake ,amuulize ETH
Hapana ujue nini kwenye maisha najifunza vingi sana ,ETH alijua kucheza na fursa na aliaminika sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wewe nawe funga bakuli lako, nyinyi mlishapiga £60m zenu kwa Freemason Mount, Masingeli povu linamtoka kwa kuona kwenye huu ufisadi unaoendelea Arsenyau hawajalamba hata mia mbovu.
Manjesta wakishuka daraja nitatoa gunia la Michele la kilo 100Man utd wakishuka Daraja najitolea kumnasa makofi Mwakinyo popote pale atakapokuwepo....hii nitafanya kama nimejitoa Kafara kwa furaha nitakayokuwa nayo.
[emoji1787][emoji1787][emoji23] Mambo yamebadilika siku hizi ulimwengu wote unaendeshwa kwa mifumo ya kibepari, mambo ya ujamaa na kujitegemea yalimalizikia kwenye Azimio la Arusha.ETH muhuni sana yule jamaa[emoji1787][emoji1787]
Kaka nitafurahi sana yani hiyo siku tutaigeuza Sherehe kubwa sana wapenzi wa soka DunianiManjesta wakishuka daraja nitatoa gunia la Michele la kilo 100
Tufanye sherehe
Na hizo timu za championship kwa kutoa GG kwenye kubet hawajambo..na kipa wao onana watatoa GG msimu mzima🤣Mashabiki wa Man utd njooni basi tuwape mbinu za Kuzifunga timu za Championship maana huko ndo mnapoelekea.
Fafanua basiBouncing back ya Man United itakuwa kama Escape velocity, ngoja tushughulike na akina Rashy kwanza.
Kama ni winga mmepata mwenye nguvu, kasi na mashine kazi. Hatujawahi kushindwana kwenye biashara hakuna udalali.Tununue wachezaji wazuri pekee
Bruno aondoke
Onana aondoke
Winga wapya sio wakina machepele