hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 13,628
- 20,992
ETH muhuni sana yule jamaa🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ETH ni kizazi cha kina Endruuu Chernge A.k.a Joka la Makengeza.
Watoto wa mjini hawa hua hawalali njaa, pamoja na ufisadi wote ila mwisho wa msimu zikipigwa hesabu Utd ndio inakua namba moja Epl kwa maokoto, hivyo kuliko pesa yote ya faida kuchukua watoto wa marehemu Gilaza na huyo tajiri mwembamba bora na hawa watoto wa mjini wajimegee tu kabisa fungu la 10
Masingeli hizi pesa zinavyokuuma utafikiri zimechomolewa kwenye mfuko wako wa suruali.