Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule jamaa aliekuwa anasema kipara ni jasusi huenda anajua mengi yaliopo nyuma.NYUMBU tunaangamia
Kila mchezaji hamtaki kocha? Wafukuzwe wote, united ikubali kuanza 1Hawa wachezaji hawamtaki kocha nini mbona wanatembea tuu humo uwanjani
Uko sahihi hii team imerogwa na arsena8Unataka ku-attack kwa kumtumia Zirkzee? Labda umelogwa.
Wachezaji wote kama unaweza fanya sub unatoaNyumbu katika mbili tatu za kukata mauno
hata kwenye boksi hatufikiDk 30 hakuna hata shot off goal ***** hawa kesho fukuza wote
Simba na Yanga wanacheza vizuri kuzidi nyumbu.Wachezaji wote kama unaweza fanya sub unatoa
Fukuza tuuKila mchezaji hamtaki kocha? Wafukuzwe wote, united ikubali kuanza 1
Wachezaji wangese sana...sasa ananuna nini wakati uwanja i alikuwa anaruka ruka tuu🤣🤣🤣🤣Zirkzee out Mainoo in. Afadhali
Ngoja niwape kibu denis awasaidie maana hamna attacking player wa maana hapaSimba na Yanga wanacheza vizuri kuzidi nyumbu.
Dakika ya 33 hii commentator anasema watu wa mpira wameshangaa sana Zirkze anaanza na hao watatu wako nje."Mawinga" watatu makini wako nje (Garna, Rash, Anthony) halafu unaweka mtu hajawahi kuxheza winga toka azaliwe (Zirkzee) na unategemea kushinda. Huyu kocha ni mbwa tu.